randez vous
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 890
- 621
Hivi hao wanaofanyakaz kwenye intelligence agencies kama CIA n.k nao huwa wanaugua ukichaa??..je kuna mtu ashawahi kumuona mmoja wao amechizi?...kama ndivyo vipi kuhusu siri huwa wanatoa wakichizi au?...wenye uelewa Na ushahidi wa hili naomba kufahamishwa!!!.