T bills
Member
- Apr 19, 2022
- 61
- 65
Kuna mwandishi mmoja aliandaika " Whatever happens to you has been waiting to happen since the beginning of time." - Marcus Aurelius
Je ni kweli kila tunachofanya na njia tunazopita na kila kinachotokea tayari zishapangwa kabla hata ya kuzaliwa? Au sisi wenyewe ndio tunaotengeneza hatma zetu?
Je ni kweli kila tunachofanya na njia tunazopita na kila kinachotokea tayari zishapangwa kabla hata ya kuzaliwa? Au sisi wenyewe ndio tunaotengeneza hatma zetu?