ARDHI UNIVERSITY

ARDHI UNIVERSITY

Oi wadau aliye Yaona majina ya second selection naomba aniangalizieko jina langu shadrack Solomon Thom au anisendie link ya kuingilia
 
Land valuation inalipa kwa sasa?. Karibun
Hakuna coz isiyolipa ndio maana bado zipo zinafundishwa means bado watu wanahitajika

UKITAKA UIFAID COURSE YAKO NA UONE MATUNDA YAKE
/ukisoma ishi vizuri na watu
/usijione unajua sana
/sahau matokeo yako y form six, yaani usisome kwa ushindani na watu au uwe wa kwanza...
/ jione hufahamu kila kitu
/ soma kwa bidii huku ukielewa unacho kisoma
/ukienda field fanya kaz kwa bidii
/ onesha tabia njema kwa wakubwa n waliokutangulia na mabosi wako huko field.
.
.
karibu ARDHI karibu kwenye jengo la LMV lenye kofia
 
Sio mahala pake kabisa kuwajadili wahadhiri hapa,
 
Back
Top Bottom