Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
Vitabu vyote vya dini vinatambua uchawi upo
Sasa dini na uchawi kimsingi vina tofauti gani?
Vitabu vyote vya dini vinatambua uchawi upo
Kama huamini kuwa uchawi upo na unajifanya unayo imani na unakwenda kuabudu kila siku inapojiri acha kujidanganya na kujipotezea muda ndugu yangu! First uliamini vipi hiyo imani yako inayozungumzia mambo yasiyo bayana halafu usiamini uchawi. Halafu huwezi kuwa na imani na unaabudu then unabisha kuwa hakuna nguvu za giza wakati vitabu vyote vinamtaja shetani na mashetani ambao ndio wakuu wa hizo nguvu za giza.Wanaoamini uchawi wana matatizo ya akili.
Unakanganya! Unaamini Mungu then huamini kama kuna uchawi, then tuambie basi huamini shetani kuwa yupo. Shetani anachukua form tofauti katika vita vyake dhidi ya wanadamu so hivyo unavyosema vita, uchawi na mambo yake na maovu mengine zote ni kazi zake. Shetani hawezi kupishindana na yeye mwenyewe.Wanaoharibikiwa kimaisha kwa kuhisi wamelogwa ndo hawa hadi leo hawaendelei!ila wanaoamini ni mungu ameleta misukosuko hakika huendelea!uchawi ungekuwepo basi kusingekuwa na vita amerika ingemloga irani hakuna haja ya kwenda na mandege na vifaru!
Kama huamini kuwa uchawi upo na unajifanya unayo imani na unakwenda kuabudu kila siku inapojiri acha kujidanganya na kujipotezea muda ndugu yangu! First uliamini vipi hiyo imani yako inayozungumzia mambo yasiyo bayana halafu usiamini uchawi. Halafu huwezi kuwa na imani na unaabudu then unabisha kuwa hakuna nguvu za giza wakati vitabu vyote vinamtaja shetani na mashetani ambao ndio wakuu wa hizo nguvu za giza.
Asiyeelewa nani hapa, mimi au wewe? Sijasema UNA imani, nilitumia neno KAMA. Then kama huabudu fine unayo haki hiyo.Imani yangu ipi hiyo unayoizungumzia hapo wewe? Kuna sehemu nimesema huwa naenda kuabudu?
Matatizo ya kusoma vitu na kutokuelewa hata umesoma nini!
Mimi na imani wapi na wapi?
Asiyeelewa nani hapa, mimi au wewe? Sijasema UNA imani, nilitumia neno KAMA. Then kama huabudu fine unayo haki hiyo.
Narudia "Kama huamini kuwa kuna uchawi na una imani..." Kwa kutumia neno kama nilifahamu inaweza kuwa una imani or not. Maadam ulishajipambanua kuwa atheist mengine hayo ni immaterial.Msingi wako wa utumiaji wa 'kama' ni nini?
Unadhani kila mtu ni mjinga wa kuamini hayo ma imani?
Narudia "Kama huamini kuwa kuna uchawi na una imani..." Kwa kutumia neno kama nilifahamu inaweza kuwa una imani or not. Maadam ulishajipambanua kuwa atheist mengine hayo ni immaterial.
Haya shinda NgabuUnaona sasa...wapo nimejipambania kuwa mimi ni mkana mungu?
Ni wazi hujui nasimama wapi kwenye hayo mambo!
Haya shinda Ngabu