Wakuu heshima zenu. Husikeni na kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni member ninayependa kujifunza kwa hiyo naomba yeyote mwenye kujua anieleze nini maana ya neno "arachuga" maana nimekua nikiona likitumika mara kwa mara humu jf.
Asanteni, nawasilisha.
Asanteni, nawasilisha.