Hii ni kweli,
Mwalimu alikua akifundisha sentensi za kiarabu kwa mara ya kwanza kwa wanafunzi wapia, mambo yalikuwa hivi
- Mwalimu: Lugha ya kiarabu haina herufi "O" au "V", mara nyingi majina yenye herufi "O", huwa wanaweka harufi "U".
- Wanafunzi: Ndio mwalimu
- Mwalimu: kwamfano neno NDOA litakua NDUA
- Mwanafunzi: Je mwalimu kuna mwanafunzi mwenzetu anaitwa KONDO tutamuitaje
- Mwalimu: atakua anaitwa KUND...,
Kwa ghadhabu mwalimu alimporomoshea stik yule mwanafunzi za kutosha