Arabic words

Mandown

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2012
Posts
1,665
Reaction score
507
Hii ni kweli,
Mwalimu alikua akifundisha sentensi za kiarabu kwa mara ya kwanza kwa wanafunzi wapia, mambo yalikuwa hivi

  • Mwalimu: Lugha ya kiarabu haina herufi "O" au "V", mara nyingi majina yenye herufi "O", huwa wanaweka harufi "U".
  • Wanafunzi: Ndio mwalimu
  • Mwalimu: kwamfano neno NDOA litakua NDUA
  • Mwanafunzi: Je mwalimu kuna mwanafunzi mwenzetu anaitwa KONDO tutamuitaje
  • Mwalimu: atakua anaitwa KUND...,
Kwa ghadhabu mwalimu alimporomoshea stik yule mwanafunzi za kutosha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…