April '09 Bomb Blasts in Dar (Mbagala) and responses

Mkuu wa majeshi hajasema chochote mpaka sasa, nafikiri ndio alitakiwa kuongelea kwani hili linamgusa kabisa yeye kama mkuu wa majeshi
 
Poleni sana wote mliopo Dar es salaam. Mshikamano kiwe kitu cha kwanza katika kukabiriana na hali hii ya kutisha
 

Attachments

  • Mbagala Jeshin.jpg
    Mbagala Jeshin.jpg
    211.8 KB · Views: 90
Mkuu wa majeshi hajasema chochote mpaka sasa, nafikiri ndio alitakiwa kuongelea kwani hili linamgusa kabisa yeye kama mkuu wa majeshi


Tatizo linakuja wanatafuta uongo wa kudanganya kwanza, akisema sasa atakuwa hana uongo itabidi waseme ukweli wataumbuka.

Halafu tegemea watakataa kujibu maswali mengi kwa sababu za usalama wa taifa, kumbe wanaficha uzembe tu.
 
Don't read too much kwamba labda kuna nguvu nyingine.. tatizo letu ni kuwa we always see things in isolations.. we don't see patterns!

Fikiria... tuliwaripotia juu ya Mkutano wa kule Uarabuni wa wahusika wa tuhuma mbalimbali kuhusu Dowans.. watu hao hao wakakutana Dar.. na hivi juzi wamekutana Monduli.. tatizo tunafikiri all are just isolated incidents!

Masuala ya Mwananchi Gold, Deep Green, EPA, meremeta, Minara miwili, Tangold yote yameunganika.. sisi tunayaangalia utadhani ni jambo moja moja (mtindo uliotumika katika yote ni ule ule na kundi la watu ni wale wale)!

Hili la mabomu wengine wanashtuka leo, wakati wengine tumeligusa huko nyuma na tumelifuatilia kwa ukaribu kwa sababu lilikuwa linasubiri kutokea. Tulionya tukaambiwa "tunaombea mabaya yatokee ili tupate cha kusema!".. well tuna kumbukumbu fupi sana.
 
leteni accoustic/sonar equipment toka USA au Ulaya ili muweze ku-detect mabomu ambayo hayajalipuka na kuyatengua kabla hayajafanya madhara makubwa kwa watanzania wetu jameni...
 
Tiz true , 3 persons dead , several injures(over 100)
Several kids lost, houses collapsed, DAR has not seen anything like this over a very long long time.
 
Don't read too much kwamba labda kuna nguvu nyingine.. tatizo letu ni kuwa we always see things in isolations.. we don't see patterns!

Fikiria... tuliwaripotia juu ya Mkutano wa kule Uarabuni wa wahusika wa tuhuma mbalimbali kuhusu Dowans.. watu hao hao wakakutana Dar.. na hivi juzi wamekutana Monduli.. tatizo tunafikiri all are just isolated incidents!

Masuala ya Mwananchi Gold, Deep Green, EPA, meremeta, Minara miwili, Tangold yote yameunganika.. sisi tunayaangalia utadhani ni jambo moja moja (mtindo uliotumika katika yote ni ule ule na kundi la watu ni wale wale)!

Hili la mabomu wengine wanashtuka leo, wakati wengine tumeligusa huko nyuma na tumelifuatilia kwa ukaribu kwa sababu lilikuwa linasubiri kutokea. Tulionya tukaambiwa "tunaombea mabaya yatokee ili tupate cha kusema!".. well tuna kumbukumbu fupi sana.

Mwanakijiji,

Whether this is by design or "accident" (yeah right, if you don't fix your car's brakes and get into a crash, is that an accident or just a result of negligence?).. so whether it is by design or a negligence induced "accident", it points to the fact that you can't run a country on autopilot, pillage and plunder resources, appoint incompentent nincompoops, disregard social and emergency services and expect everything to run fine.

It is against the laws of physics, let alone the artful political science.

Sooner or later the entropy steaming up in that closed system is bound to explode like Mbagala. My fear is the outcome could be even worse.

We really operate like only the very best of scenarios will unfold, never preparing for disasters and making contingency plans. Why have civilian houses and a school for god's sake, so near the armoury? Why nobody was on top of the safe destruction of the supposedly expired ammunitions?

And then to think that the Nchimbis of Tanzania are the ones who have been on top of this, and are still in place to roll out whatever logistics needed, you begin to wonder why are people wondering? The only thing I am wondering is why something like this or of a far greater magnitude did not happen earlier.

We are living by the grace of nature -or god if you believe- but apparently even mother nature's laws of tolerant entropy or god's grace, is running out.

Kikwete clean up your house, next thing you know the blast will be at Magogoni.
 
... kuna makombora mengine yanaweza kulipuka na kwenda umbali wa KM hadi 21 tunazungumzia Dar nzima wajameni.

... Nawashauri watu tusilale majumbani mwetu kwa usiku wa leo

Makombora unasema yanaweza kufika Dar nzima, halafu unasema watu wasilale majumbani usiku wa leo.

Wakalale wapi, Chalinze? Unashauri wa-evacuate jiji la Dar kwenda Mkuranga, sio? Ma mayor Giuliani kibao leo.
 
Mwanakijiji,

Whether this is by design or "accident" (yeah right, if you don't fix your car's brakes and get into a crash, is that an accident or just a result of negligence?).. so whether it is by design or a negligence induced "accident", it points to the fact that you can't run a country on autopilot, pillage and plunder resources, appoint incompentent nincompoops, disregard social and emergency services and expect everything to run fine.

It is against the laws of physics, let alone the artful political science.

Sooner or later the entropy steaming up in that closed system is bound to explode like Mbagala. My fear is the outcome could be even worse.

We really operate like only the very best of scenarios will unfold, never preparing for disasters and making contingency plans. Why have civilian houses and a school for god's sake, so near the armoury? Why nobody was on top of the safe destruction of the supposedly expired ammunitions?

And then to think that the Nchimbis of Tanzania are the ones who have been on top of this, and are still in place to roll out whatever logistics needed, you begin to wonder why are people wondering? The only thing I am wondering is why something like this or of a far greater magnitude did not happen earlier.

We are living by the grace of nature -or god if you believe- but apparently even mother nature's laws of tolerant entropy or god's grace, is running out.

Kikwete clean up your house, next thing you know the blast will be at Magogoni.

Blueray.. ndicho ninachosema.. watu wanaonekana kushangazwa na tukio hili kana kwamba limetokea kwa bahati mbaya kama wale wanoashangaa kuona Dar inafurika kila mwaka, au wanaona kushangazwa na kilichomo kwenye ripoti ya CAG (hamna jipya kwenye ripoti hiyo ni yale yale ya 2006!).... na ukitokea mkataba mwingine mbovu watu watashangaa na kuhamaki!
 
Kwa wale mlio Dar,

Kutakuwa na milipuko flani mnaisikia. Ni mabomu ambayo yanalipuka eneo la kambi ya Jeshi Zakhem - Mbagala.

Hii inaweza kupelekea mitikisiko isiyotarajiwa.

Nimefahamishwa ili nitoe tahadhari hii mapema. Nini kinaenedelea? Tutafahamishana
Tunashukuru kwa Taarifa Boss.
 
Inasemekana magari yenye ving'ora yanapishana motuari ya mwananyamala hospitali, Hii inaonesha hospitali zote za serikali zilizo jirani zimejaa, Lo dhiki kubwa hii..
 
Mkuu wa majeshi hajasema chochote mpaka sasa, nafikiri ndio alitakiwa kuongelea kwani hili linamgusa kabisa yeye kama mkuu wa majeshi

MNADHIMU KASEMA HALI SI SHWARI BADO KUNA MENGINE YANARUKA KM 21 HAYAJAFUMUKA/....
 
Kwa ujumla uongozi wetu ni muozo.
Hii kitu imeanza zaidi ya masaa kumi na moja, nadhani ilikuwa saa kumi usiku saa za huku nilipo wakati Invisible alivyotupasha, sasa ni saa tisa. Muheshimiwa Rais na amiri jeshi mkuu bila utu ajatoa hata pole.....

Hii ni aibu na hasara kwa Taifa.

Sijui yeye na washauri wake wanalipwa kwa nini..
 
Leo posting issue ya bomb blast zinakwenda fast sana sio rahisi kufanya analusisi ya kutosha. Kuna mmoja aliripoti baba mwanajeshi alitimua mbio hadi nyumbani na kueleza familia kuwa kulikuwa kuna exchange of fire with intruders, yeye mwenyewe aliwarefer kama majambazi. Maskini wanajeshi wetu hawapati action, kambi inavamiwa anawaita wavamizi majambazi. This is a war situation. Mliiona hiyo?

Pia kuna msg inacirculate kwamba ni mabomu mtindo mmoja hadi mbegu za DECI zirejeshwe mmeipata hiyo?
 
Kabisa kaka kwa macho....,yangu...jamani na kibaya zaidi wanaletwa kwenye ma pickup wamejazwa kama magunia na muhimbili wamewapanga foleni....inasikitisha sana na cha kuumiza wengine wako na dripu wakiwa kwenye pick up.....
Jamani hili jamaa ni liongo la kutupa na tapeli kabisa.nimekwenda muhimbili wodi ya MOI.ni kwamba wamepokea wagonjwa 17 tu wa mbagara ambapo 5 wameruhusiwa...wadada 3 wako mwaisela wodi namba 2 wamewekewa pop kwa kuwa wamevunjika miguu wakati wakikimbia.wanne wameshunwa kwa kuwa walichanika kwenye mikono.binti mmoja wa miaka kama 15 amepoteza fahamu kwamshtuko na wawili wana sikia maumivu kwa ajili ya mshtuko.
 
Duh kwakweli nawapa pole waathirika wa hili janga la mabomu. Kwa maoni yangu there is a message in this 'issue', kwa tunaofuatilia mambo tutakumbuka last week kuna wanaJF walionya kwamba kuna jambo moja la hatari litatokea this week kwakuwa wafisadi walikuwa wanajipanga kuhusu ishu flani...haya sasa yameanza mabomu,sijui nini kitafuata. STAY TUNED!
 
Kuna watu wamesma kuwa kwa nini naibu waziri atoetaaRifa na wakati wataalamu wa jeshi wapo.ningependa kuwaambia hio taarifa kwa uelewa wangu huwa hazitoki kichwani kwa waziri bali anatumiwa na jeshi kuitoa na yeye anakuwa na dhamana tu ya kuwasilishana kwa wananchi
 
Kuna watu wamesma kuwa kwa nini naibu waziri atoetaaRifa na wakati wataalamu wa jeshi wapo.ningependa kuwaambia hio taarifa kwa uelewa wangu huwa hazitoki kichwani kwa waziri bali anatumiwa na jeshi kuitoa na yeye anakuwa na dhamana tu ya kuwasilishana kwa wananchi

Swali muhimu kwa Naibu Waziri ni kwa nini wizara na jeshi wamekubali kuwa na armoury iliyo karibu sana na makazi ya watu?
 
Back
Top Bottom