Karibu Sana
JF-Expert Member
- Mar 14, 2020
- 991
- 1,774
App ya Robert Amsterdam mbona ina 12 millions 





CCM inakufanya uwe mpuuzi sasa kila sehemu unaitaja utadhani umejiunga jana.Millard Ayo ni pandikizi la CCM acheni kufuatilia habari zake
Kama Millard Ayo ametajwa hapa na kuna la kuzungumza kuhusu yeye kwa nini lisizungumzwe?CCM inakufanya uwe mpuuzi sasa kila sehemu unaitaja utadhani umejiunga jana.
Sasa shule za bure na magaidi wa ISIS kuna uhusiano gani hapa?Magufuli huyuhuyu ambae ameifanya SADC kuwa ya hovyo hadi magaidi wa ISIS wanatamalaki au unamzungumzia Magufuli yupi?![]()
Kwani Magufuli siyo amri jeshi mkuu?au yeye ni hodari tu katika kutoa elimu ya bure?Sasa shule za bure na magaidi wa ISIS kuna uhusiano gani hapa?
Sasa wewe unataka nini haswa ili ufurahishwe? Ukiona vipi mfuate Lissu majuu ukapakatwe na wewe?Kwani Magufuli siyo amri jeshi mkuu?au yeye ni hodari tu katika kutoa elimu ya bure?
Unajua kusoma?Wapi nimesema kuwa nahitaji kufurahishwa?Sasa wewe unataka nini haswa ili ufurahishwe? Ukiona vipi mfuate Lissu majuu ukapakatwe na wewe?