Badala ya kuweka matangazo nadhani ungeitumia kutangaza service zako. Mfano unaweza kuweka contacts zako na link ya mtu akihitaji app yako kwenye startup na labda kila baada ya wiki ukifungua ina popup. Hii nadhani itakupeleka mbali. App yako inapendwa kwa sababu haikuwa na matangazo. Else utapoteza watumiaji wengi sana.
Pia search ya text ungeiweka pale juu, kwenye action bar. Most of us tunatafuta sana text kuliko vitabu. Vitabu ni rahisi ku scroll.