sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,679
- 9,839
Hii ni post yangu ya ku -appreciate movement zako unazofanya kuhusu taifa letu.
Polepole anaipenda Tanzania.
Polepole anaipigania Tanzania.
Polepole sio mwizi.
Polepole sio mroho wa madaraka.
Polepole ana nia njema na ya dhati kwa Tanzania.
Nilipoona damu yako inachuruzika kwa ajili ya Tanzania roho imeniuma sana mpaka sasa sijapona.
System ina watu wenye roho mbaya sana.
Nakukubali na mimi ni shuhuda namba moja kwamba watanzania wanakupenda na wanakuamini.
True son of Tanganyika.
Ulichagua kufia kwenye ardhi ya nyumbani.
Gen Z presidential material.
Tunakuombea urejee salama maana hakuna tunachoweza kufanya kwa sasa zaidi ya kukuombea heri huko ulipo.
Nakuona soon jumba jeupe pale kwenye kiti ukiapisha mawaziri na wakubwa wa kazi wengine.
Na walio na wewe wakufikishie huu ujumbe, kuwa kuna mhuni hapa Sinza anakukubali sana.
Ipo siku inakuja tutalipa hiki kisasi. Na hatutokaa tusikilize nyenyeenyee ya mtu yoyote anaejifanya muhimu kwenye taifa hili.
Kama unamkubali Polepole bonyeza kitufe cha like.