Penologist
JF-Expert Member
- Feb 25, 2019
- 793
- 1,932
System imekaa vibaya mwaka huu, nimekuwa nikiwaombea wanafunzi mikopo kwa miaka nane sasa ila mwaka huu system inasumbua vibaya sijawai kuona.
Yaani ukipata control number ukalipia ita chelewa sana kureload tena mwaka huu hakuna button ya kureload manual. Baada ya muda mrefu iki reload, ukinza kuingiza taarifa za nwanafunzi ili u create account system inaruka inakuambia tayari unayo account. Yaani ni vurugu tupu. Alaf mwaka huu hakuna online customer care.
Inaonyesha ni namna gani wamekurupuka bila maandalizi na ndiyo maana walisogeza muda wa kufungua dirisha la maombi.
Yaani ukipata control number ukalipia ita chelewa sana kureload tena mwaka huu hakuna button ya kureload manual. Baada ya muda mrefu iki reload, ukinza kuingiza taarifa za nwanafunzi ili u create account system inaruka inakuambia tayari unayo account. Yaani ni vurugu tupu. Alaf mwaka huu hakuna online customer care.
Inaonyesha ni namna gani wamekurupuka bila maandalizi na ndiyo maana walisogeza muda wa kufungua dirisha la maombi.

