Unahitaji frequency booster , na ni hardware sio softwareWakuu ninaishi mbali na network tower.sipati signal nzuri katka simu yangu. Haswa za internet. Naomba mwenye ujuzi anisaidie Nini cha kufanya..ili nikiwa nyumban niweze kutumia internet
Lkn vile vile kwa sm za kichna kama tecno itel infinx hazna broadband zenye nguvu niamn mm ukiwa na sm kama htc.motorola.sony. asee hata mstun znapandsha 3G au 4G... Nlikuwaa na mchna nikiwa wilaya flan hukoo mda wote n emergency calls only ..nikaagza motorola droid turbo kutoka DRC aseee hz sm n a
Epo zpo gd shida copy ni nying sn epo upate version za europe au north africa yaan kwa kfup iphone ya bongo sio zote og nying n famba sana wataalam watakubali hiiVip? Kuhusu simu iPhone kwy kupandisha signal networks
Kuna ukweli hapaLkn vile vile kwa sm za kichna kama tecno itel infinx hazna broadband zenye nguvu niamn mm ukiwa na sm kama htc.motorola.sony. asee hata mstun znapandsha 3G au 4G... Nlikuwaa na mchna nikiwa wilaya flan hukoo mda wote n emergency calls only ..nikaagza motorola droid turbo kutoka DRC aseee hz sm n atar