Dah Anne ni shida ila sasa amepata ametuliaHuyo Anne naona alimaliza siku nzima akiomba picha na bado akaahidi kuendelewa harakati kwenye uzi wa Usiku
Mie nimechagua kuendelea na mambo mengineHahah! Wale noma sana bila kutoa picha unakaa humu ndani bila amani labda ufanye ukauzu uendelee na mambo mengine
Hivi tarehe moja bado au!!
Tayari bhana
Mbona sijaona kimya kwenye app yao
Kwambanilisahau kama waliahidiwa mabadiliko leo
SI alikuwa ananitaniaHuyo Anne naona alimaliza siku nzima akiomba picha na bado akaahidi kuendelewa harakati kwenye uzi wa Usiku
Tunaingia humu JF kwa kutumia hizo njia mbili embu tuambie wewe unatumia ipi kati ya hizo?
Muambie mtu ambae hatumii njia yako vitu ambavyo vinakukera na vinavyo kuvutia zaidi katika njia yako...
Kuna sehemu niliona mtumiaji wa Browser akimuambia mtumiaji wa App kwamba App wanatumia wazee...
COVID 19 ipo tujikinge kwa kufuata ushauri tunaopewa na wataalamu
Kipi ukitumia unaenjoy zaidi?Hii inategemea na wewe wakati huo unataka kuingia jf unakuwa na kifaa gani kama simu haina maana kwenda kwa browser wakati kuna app so inategemea unatumia kifaaa gani muda huo
Sent using Jamii Forums mobile app
KwemaThanks Anne..
Vipi kwema lakini?
Boss wetu hatuna shaka nayeMkija njooni ki Mei Mosi
πππππBoss wetu hatuna shaka naye
Juzi nimechat na bossView attachment 1436639View attachment 1436640
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulipotelea wapi siku mbili tatu hizi eti ??
Kila siku mmekua ni watu wakudanganywa kama watoto wakati ni wazee kabisa
Hajatudanganya
Kila siku mmekua ni watu wakudanganywa kama watoto wakati ni wazee kabisa
Usiwe unapotea kabisaMimi pia niko poa sana wala msistuke... sema tu nimekua na vijimajukumu fulani hivi ndio vinanificha