carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,579
- 285,646
Sawa
Aiseee
KD huyu ndio aliyeanzisha hiki kimsemo..
Ona sasa Hadi carba amekichukua
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah
Hahah leo umejua kunifurahisha sana
Tena huyu ndio Kaka mkubwa
Maana toka asubuhi Hadi saa5 hii napambania picha Yake tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena huyu ndio Kaka mkubwa
Maana toka asubuhi Hadi saa5 hii napambania picha Yake tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sijakufikia japo robo..Mie huyu Anne siku hzi ananifundisha tabia ya ubishi,
Sikuwa hvi mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani Tangu asubuhi ameniweka tu humukweli leo umekutana na kiboko yako
Kumbuka sijakunyima lakini!?Mimi sijakufikia japo robo..
Kuninyima picha Tangu asubuhi Hadi saa 6 hii naanza kuvua samaki hapa
Hii level sijaikaribia hata
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu anne ni mtoto mbaya sanaMie huyu Anne siku hzi ananifundisha tabia ya ubishi,
Sikuwa hvi mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hey Carb nataka nikalale mwenzio tuma basi pichakweli leo umekutana na kiboko yako
Mimi sijakufikia japo robo..
Kuninyima picha Tangu asubuhi Hadi saa 6 hii naanza kuvua samaki hapa
Hii level sijaikaribia hata
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana
Hampishani mko sawa mana tunahama tu majukwaa na picha hazitumwiHuyu anne ni mtoto mbaya sana
Ulale salama mnazareth
Bado napambanaPole sana