application thru email

application thru email

sometime huwa inasikitika sana mambo ya JF though sio sifa hata kidogo...binadamu mwenzenu anaomba msaada wenu wa kutojibiwa electronic applications hata moja, ndo kwanza wengine mnamdhihaki, ooh nipm, jina lako limenivutia, mwingine namba za simu....kiumbe la msingi usikate tamaa me niliitwa kwenye interview za email nyingi tu na wezi humo humo walinijibu wakitaka pesa be keen, extracareful, then never give up...aluta continua
 
Jaman kweli siyo vizur mwenzenu anaomba ushaur mnaleta jocking,halafu mmepagawa na hilo jina shauri yenu mbona huyo ni mwanaume mwenzenu!!
 
Ndio kuna tatizo kama hilo. Ila pendelea kutumia zaidi kama tangazo la kazi limetoa e-mail yake. Inavyo onekana kutumia e-mail ya website inayo tangaza kazi kama ile maarufu, something is wrong.
 
Mahipsi baby? Jina lako linanifanya naanza kuhukumu attitude yako, samahani lakini.
Well, unaweza kufanya application online na hata kufanyiwa interview kwenye simu na ukapewa kazi. Miezi ni michache hiyo kukata tamaa, endelea kukomaa inshaallah utajaaliwa. Kila la kheri.
 
Mahipsi baby? Jina lako linanifanya naanza kuhukumu attitude yako, samahani lakini.
Well, unaweza kufanya application online na hata kufanyiwa interview kwenye simu na ukapewa kazi. Miezi ni michache hiyo kukata tamaa, endelea kukomaa inshaallah utajaaliwa. Kila la kheri.

waweza kuta mahips baby@yahoo.com. ndio address yake.
 
Back
Top Bottom