Application deadline

Application deadline

Joined
Apr 25, 2015
Posts
52
Reaction score
2
Jamani hivi ni sababu zipi zinazopelekea nacte kuongeza application deadline kila siku mfano katika education, inamaanisha watu waliofanya application ni wachache kwahiyo hawatoshi vyuoni au inakuaje hapo.
 
Ni kero sana alafu wameongeza hadi 19 September cha ajabu hakuna option ya kureset choices. Mi kuna mtu kaniomba nimbadilishie choices imenigomea kabisa
 
Umeonae mm nljua masiala nlivoona deadline zimeongezwa Mpaka kufikia eti september 19 duh
 
Ni kero sana alafu wameongeza hadi 19 September cha ajabu hakuna option ya kureset choices. Mi kuna mtu kaniomba nimbadilishie choices imenigomea kabisa

Choises unareset ila unatakiwa utumie kompyuta kwa simu no.
 
Si kweli unachokisema, mimi nimeweza kureset choices zaidi ya mara tatu nikitumia simu tu.....

ndugu,me ndo nakwambia halaf unataka ubishe?haya reset tena basi uone na hiyo simu yako.
 
Ni hivi,hata ukireset kwa simu hautaona mabadliko hadi utumie top kulog in..
 
Hio application ni kwa w' funz wa walomaliza form six tu au mpk walomaliza diploma? Hem nisaidien mwenzenu
 
Hio application ni kwa w' funz wa walomaliza form six tu au mpk walomaliza diploma? Hem nisaidien mwenzenu

Watu wa nacte ni wale walio apply kwa kutumia equivalent qualifications kama Diploma, RPL na waliosoma nje...
 
Ni hivi,hata ukireset kwa simu hautaona mabadliko hadi utumie top kulog in..
Mmmh labda leo km itakubali ila mimi jana nimetumia PC hawakuweka option ya ku reset choices, iliyokuwepo ni CONTINUE WITH YOUR APPLICATION.
 
Back
Top Bottom