Teknolojia ni Yetu sote [emoji3577]Napenda sana nyuzi za hivi
Android ya Tablet inakua na L kwa mbele, mfano android 12L.Najua lakini ni kwanini wanaotengeneza wana opt kutumia hii android ya simu kwenye tv na vifaa vingi?
And os ya apple ya car navigation nikisoma review za mtandao inasifiwa kuliko hata car plày.
Lakini pia turudi kwenye kilichofanya tablet za android zifail ilikuwa ni os ile ile kutumika kwenye tablet na simu so same apps zinakuwa stretched kwa screen wakati apple alikuwa na dedicated os kwa simu na tablet.
Visiom pro naongea kutoka na review na wala kwa bei yake sijui hata kama naweza kuimiliki ila jinsi alivyoimplement kafanya hata VR ya meta iwe hamna kitu japo pia ya meta ilikuwa na malengo rofauti na ya vision pro.
By the way naona metaverse project itajifia kifo kama products na services nyingi za google zinavyojifia.
Najua lakini ni kwanini wanaotengeneza wana opt kutumia hii android ya simu kwenye tv na vifaa vingi?
And os ya apple ya car navigation nikisoma review za mtandao inasifiwa kuliko hata car plày.
Lakini pia turudi kwenye kilichofanya tablet za android zifail ilikuwa ni os ile ile kutumika kwenye tablet na simu so same apps zinakuwa stretched kwa screen wakati apple alikuwa na dedicated os kwa simu na tablet.
Visiom pro naongea kutoka na review na wala kwa bei yake sijui hata kama naweza kuimiliki ila jinsi alivyoimplement kafanya hata VR ya meta iwe hamna kitu japo pia ya meta ilikuwa na malengo rofauti na ya vision pro.
By the way naona metaverse project itajifia kifo kama products na services nyingi za google zinavyojifia.
Mkuu nilikuwa nataka kuagiza Xiaomi Pad 6 Pro ikiwa released globally nimeona reviews nyingi wanaisifia na ina feature ya Video output piaHio ni Zamani, ila sasa Android ipo vizuri sana Tablet hasa One Ui ya Samsung, achana na Tablet natumia s20 kwenye TV sometime unasahu kabisa kama unatumia simu, kila kitu kipo on point na apps zote ninazotumia sijawahi pata tatizo la UI, mpaka za vichochoroni. kuna Video kibao zipo youtube unaweza cheki Tablet mode ya One Ui ikiwa compared na ipad os mambo. Mambo ya multitask etc. Kama hii
Unayo laptop? Kwa masomo laptop ni bora zaidi, hata kama unataka Tablet unaweza tafuta laptop yenye kalamu na touch ili upige 2 in 1.Mkuu nilikuwa nataka kuagiza Xiaomi Pad 6 Pro ikiwa released globally nimeona reviews nyingi wanaisifia na ina feature ya Video output pia
Nataka niitumie kwa matumizi ya masomo, je inafaa kwa ushauri wako?
Au ni tablet gani nyingine nzuri kwa 330£ maana nimetokea kuipenda sana
Shukrani mkuuUnayo laptop? Kwa masomo laptop ni bora zaidi, hata kama unataka Tablet unaweza tafuta laptop yenye kalamu na touch ili upige 2 in 1.
Kwenye Tablet ndio pad 6 na 6 pro mara hii zinakuja na usb3.2 hivyo utapata video out utaweza tumia na vitu kama monitor na TV. Zote mbili zina Highend cpu utaweza fanya jambo lolote la mambo ya kusoma bila tatizo.
Kwa budget husika ngumu kufikia Value ya Pad 6, unaweza pata Tab s7 ya samsung used maybe.
Pia usisahau kalamu ni muhimu
Microsoft word ipo kwenye Android, haina feature zote ila vitu basic vyote vipo.Shukrani mkuu
Kama bei itakuwa kikwazo basi nitaenda hata na Xiaomi Pad 5 hata kama haina video output au nisubirie Pad 6 plain iachiwe globally nijue bei yake. Tatizo ni kwamba sipendi laptop
Naona Xiaomi Pad 5 inauzwa laki 5 AliExpress halafu keyboard yake ni laki 1. Stylus za Xiaomi zinafika hadi laki na 80
Hivi mkuu kwenye hizi devices zetu za Android kuna app yoyote inayoweza kutumika kama mbadala wa Microsoft word maana huo ndio wasiwasi wangu mkubwa. Nataka kujua kama kuna app nitakayoweza kutumia kwenye tablet kutunza na kuandika notes, hata kama ni ya kulipia
Pia kwa laki 8 kama kuna tablet ya kampuni yoyote itakayonifaa kwenye masomo naomba ushauri wako mkuu
Si heri tu ununue laptop uachane na shida zote hizi [emoji28][emoji28]Shukrani mkuu
Kama bei itakuwa kikwazo basi nitaenda hata na Xiaomi Pad 5 hata kama haina video output au nisubirie Pad 6 plain iachiwe globally nijue bei yake. Tatizo ni kwamba sipendi laptop
Naona Xiaomi Pad 5 inauzwa laki 5 AliExpress halafu keyboard yake ni laki 1. Stylus za Xiaomi zinafika hadi laki na 80
Hivi mkuu kwenye hizi devices zetu za Android kuna app yoyote inayoweza kutumika kama mbadala wa Microsoft word maana huo ndio wasiwasi wangu mkubwa. Nataka kujua kama kuna app nitakayoweza kutumia kwenye tablet kutunza na kuandika notes, hata kama ni ya kulipia
Pia kwa laki 8 kama kuna tablet ya kampuni yoyote itakayonifaa kwenye masomo naomba ushauri wako mkuu
Ubarikiwe mkuu [emoji120][emoji120]Microsoft word ipo kwenye Android, haina feature zote ila vitu basic vyote vipo.
Pad 6 bei imetoka global, kwa ulaya itakua kama 1m, sijajua china.
Hapana laptop sitakiSi heri tu ununue laptop uachane na shida zote hizi [emoji28][emoji28]