Apple vs FBI; Maxence Melo vs DCI

Kampuni ya Apple haikuweza kufungua
Simu kwa sababu kile ni kafaa unacholiki wewe
So wao hawawezi kuingilia na hii iliwaongezea Apple umaarufa sana,
Ndipo FBI waliamua kutumia ma ex part wa IT wa Mossad,
Na ijulikane kwamba Mossad walifanikisha kufungua ile simu.
Apple hawakuendelea kulazimishwa kwa kuwa ni sharia ya masiliano
Ilikuwa haiwapi nguvu FBI.

Itambulike kutoa taarifa za mteja ni kinyume na sharia.
Hata hapa hayo mashitaka ya Jeshi la polisi dhidi ya Maxence
Haya nguvu kisheria, wanatumia ubabe tu kwa kuwa ni serikali,
Na ijulikane wakati mwingine serikali huwa inatumia mabavu.
 
I think there is a point, security is number one priority, no serious state can dare not to have such kind of "imposed" privilege. It is important to have citizens understand the essence and the state must use such imposed privilege wisely and judiciously. So all state machinery for administration of justice should step up and clear the bad air to win back the trust of the citizens.

Methinks in our case, namely the JF saga, the issue does not seem to be national security. The issue here is that our rulers are so thin-skinned that they do not want to see even a single information forum where ideas different those of the ruling class can be freely generated and shared. That is the bottom line.
 
I think there is a point, security is number one priority, no serious state can dare not to have such kind of "imposed" privilege. It is important to have citizens understand the essence and the state must use such imposed privilege wisely and judiciously. So all state machinery for administration of justice should step up and clear the bad air to win back the trust of the citizens.

Methinks in our case, namely the JF saga, the issue does not seem to be national security. We all know very well that the issue here is that our rulers are so thin-skinned that they do not want to see even a single source of information with ideas that could potentially be different from those of the ruling class. That is the bottom line.The government has stated as much openly and it seems the police and other security agencies have now been tasked with shutting them down.
 
huwezi kusema apple walishinda kesi wakati kesi haikufika mwisho.. kwanza mara ya kwanza walishinda FBI na federal judge aliwaamuru FBI kutoa technical assistance pale wanapohitajika.

waliona ni kupoteza muda na rasilimali kuendesha kesi ambayo tayari washapata suluhisho. {mfano, wewe unanidai pesa mimi na ukapeleka kesi mahakamani, atokee mtu kama rugemalira aseme anakulipa hela yote unayonidai pamoja na fidia, wewe utaendelea na kesi ya kunidai mimi mahakamani au utaachana nayo tu?? na kama ukiamua kuachana nayo tafsiri yake itakuwa kwamba uliona ungeshindwa??}

Na mpka sasa, FBI wanauwezo wa kuangalia kila kitu katika simu yako hiyo ya iphone.
Kila Siku technology inabadirika je ikitokea tatizo jingine tena wataenda mahakamani? Hata jaji i atawashangaa kwamba ulikua na nafasi ya kuendelea na kesi upate mojakwamoja ufumbuzi, ukaifuta kwa makusudi tena Leo unakuja kwa ombi hilo hilo? Wataonekana hawako serious kabisa na mambo yanavyobadirika ktk ulimwengu huu.
 
huwezi kusema apple walishinda kesi wakati kesi haikufika mwisho.. kwanza mara ya kwanza walishinda FBI na federal judge aliwaamuru FBI kutoa technical assistance pale wanapohitajika.

waliona ni kupoteza muda na rasilimali kuendesha kesi ambayo tayari washapata suluhisho. {mfano, wewe unanidai pesa mimi na ukapeleka kesi mahakamani, atokee mtu kama rugemalira aseme anakulipa hela yote unayonidai pamoja na fidia, wewe utaendelea na kesi ya kunidai mimi mahakamani au utaachana nayo tu?? na kama ukiamua kuachana nayo tafsiri yake itakuwa kwamba uliona ungeshindwa??}

Na mpka sasa, FBI wanauwezo wa kuangalia kila kitu katika simu yako hiyo ya iphone.
Kila Siku technology inabadirika je ikitokea tatizo jingine tena wataenda mahakamani? Hata jaji i atawashangaa kwamba ulikua na nafasi ya kuendelea na kesi upate mojakwamoja ufumbuzi, ukaifuta kwa makusudi tena Leo unakuja kwa ombi hilo hilo? Wataonekana hawako serious kabisa na mambo yanavyobadirika ktk ulimwengu huu.
 
Kumbuka sheria moja wapi ya habari ni kitokudisclose source ya habari. Bora kufa au kufungwa
 
Kuna posts humu JF zimetishia úsalama wa nchi yangu pendwa Tanzania?
Unaposikia usalama ni pamoja na wananchi kupata taarifa sahihi si taarifa za uongo na upotoshaji na unatakiwa kujua information is power. Giving people the knowledge to understand Na JF ndio source pekee inayokubalika na kuaminika na inawezekana ikawa ndo source ya kupata taarifa kwa media house nying sema wamekosa kitu kinachoitwa Mutual respect kwa JF
 
Kila Siku technology inabadirika je ikitokea tatizo jingine tena wataenda mahakamani? Hata jaji i atawashangaa kwamba ulikua na nafasi ya kuendelea na kesi upate mojakwamoja ufumbuzi, ukaifuta kwa makusudi tena Leo unakuja kwa ombi hilo hilo? Wataonekana hawako serious kabisa na mambo yanavyobadirika ktk ulimwengu huu.
walishapata suluhisho la kudumu mkuu... ndo maana nikasema mpaka sasa simu yako ya iphone kwao FBI ipo uchi tu. wanaipekenyua wanavyotaka. au hujui walichomfanyia Angella wazir mkuu wa ujerumani!!
 
Haha na Nina imani kubwa serikali itashinda no freedom without regulations

" freedom without regulations is chaos "
Sa nyingine serikali huwa inashindwa na inalipa fidia ila hapa sidhani kama maxenxe atashinda cha msingi akubali tuu serikali wapate chao maana hata apple na ubishi wao naona kama walikuja kulegea baadae na kesi ikaishia juu juu sembule jeshi la mtu mmoja melo?
 
Na lazima serikali ipewe taarifa za watumiaji wote wa mitandao ndivyo sivyo

Melo wape polisi wanachotaka maisha yaendelee vinginevyo forum itafungwa kabisa

ni bora forum ifungwe kuliko iwe forum ya kuingilia kumjua kila anaye post cha msingi ni taarifa itoke na serikali izifanyie kazi sio kutaka kujua nani kazipost hapa!!! na wao serikali kama wajanja watafute njia mbadala ya kujua izo taarifa! freedom of expression has no limit. hii forum iko maarufu ndo mana hata wewe kichwa boga uko hapa kwa sababu ya habari moto moto na mijadala huru kafungue mtandao wako uwe na namna ya kuexpose member wako alafu uone kama utaweza survive hatutakuja jiunga kabisa propaganda zenu zinatosha jiulize kwa nn watu hawaangalii tbc? kwa ajili ya biased reporting na kua chombo cha propaganda za serikali tu
 
Zipo sababu za wao kutumia third party na kumbuka kesi ilikuwa mahakamani na kesi zile zinazohusu maswala ya kikatiba uchukua muda mrefu na pia hata kama inatokea umeshindwa kuna option ya kukata rufaa na pia unatakiwa kujua swala la National security au Threat yeyote kwa Taifa siku zote hatua uchukuliwa mapema kama ni kulinda,kuzuia au kushambulia sisi sidhani kama kuna haja ya kufikia huko cha muhimu ni kuja na solution bora ya JF,members na stuff wa jf tuwe safe na tuendelee kutoa maoni na mitazamo yetu bila ya kuvunja sheria au kuleta sintofahamu yeyote kwa tutoa taarifa za uongo au uchochezi
unaweza kuwa mmoja wao, wakachukua taarifa zako wakakubambika kesi. sijui kama ukitoka uta changia utoto kama huu
 
Back
Top Bottom