Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 19,639
- 14,241
Ameshindwa kuhitimisha kwa kusema ukweli kuwa FBI waliweza kuifungua ile simu bila msaada wa Apple ndio maana wakaachana na kesi.Katika yote uliyosema mwisho tumekuja kuona serikali imeshinda na wamepata walichotaka nje ya mahakama na kwa njia wanazojua wenyewe na sijawai kusikia mtu au taasisi yeyote dunian ikashindana na serikali na ikashinda cha msing ni kuwa makini na kile ukisemacho na kukiandikacho
Hii ina maana hata sisi watumiaji wa simu tuwe makini na matumizi yake. Akina Melo wanaweza wasitoe taarifa, lakini bado Serikali ikapata namna nyingine ya kutufikia kama FBI walivyofanya.