Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,346
shida ni kwamba je haina tatizo mkuu? Mana hzi second hand product zina shida
si amesema ni mpya mu-box?
shida ni kwamba je haina tatizo mkuu? Mana hzi second hand product zina shida
Naunga mkono hoja,mm mwenyewe kuna mmoja alisema anarud kutoka marekan ana acer nootebook,nikampm akaniletea longolongo na sasa ameuchuna kabisa,mi natafuta mini laptop lakin cjapata bado wote wanaleta longolongo
Naunga mkono hoja,mm mwenyewe kuna mmoja alisema anarud kutoka marekan ana acer nootebook,nikampm akaniletea longolongo na sasa ameuchuna kabisa,mi natafuta mini laptop lakin cjapata bado wote wanaleta longolongo
Weka picha basi ndugu, utauzaje mbuzi kwenye gunia?