Apple MacBook for sale

Apple MacBook for sale

emilwayne

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2011
Posts
265
Reaction score
19
4Gb ram, 750Gb ,3.66ghz DvD rewriter, built in webcam, bluetooth, wi-fi, wlan and inakaa na charge 6 hours bei ni 1,200,000/= MPYA KWENYE BOX get me on 0713079282
 
Jamani changamkieni hiyo mashine, nende apple store ndio mtajua kuwa hiyo mashine jamaa anawapa bureEee.
 
Jamani changamkieni hiyo mashine, nende apple store ndio mtajua kuwa hiyo mashine jamaa anawapa bureEee.

shida ni kwamba je haina tatizo mkuu? Mana hzi second hand product zina shida
 
4Gb ram, 750Gb ,3.66ghz DvD rewriter, built in webcam, bluetooth, wi-fi, wlan and inakaa na charge 6 hours bei ni 1,200,000/= MPYA KWENYE BOX get me on 0713079282

huyu jamaa hii mashine hana ndo mana analeta longolongo, me nimempigia simu asubuh eti analeta pozi za kupokea simu then baada ya kuongea nae na kumwambia nampa hiyo pesa nakuja mcheki tena hapokei simu wa kujibu msg.... watu wengine bana kama kitu huna kwann ujifanye unatangazatangaza.
 
huyu jamaa hii mashine hana ndo mana analeta longolongo, me nimempigia simu asubuh eti analeta pozi za kupokea simu then baada ya kuongea nae na kumwambia nampa hiyo pesa nakuja mcheki tena hapokei simu wa kujibu msg.... watu wengine bana kama kitu huna kwann ujifanye unatangazatangaza.

Naunga mkono hoja,mm mwenyewe kuna mmoja alisema anarud kutoka marekan ana acer nootebook,nikampm akaniletea longolongo na sasa ameuchuna kabisa,mi natafuta mini laptop lakin cjapata bado wote wanaleta longolongo
 
Mods naomba mtusaidie kitu kimoja kabla hamajaruhusu uzi kama pls tunaomba mconfirm kwanza kama hawa jamaa hivi vitu wanavyo sio watu tuhangaika kuwapigia simu hawapokei,kuna mwingine alikuja anauza iphone baada ya ku pm sana tu akapotea,sio vizuri kuwa na watu wababishaji humu
4Gb ram, 750Gb ,3.66ghz DvD rewriter, built in webcam, bluetooth, wi-fi, wlan and inakaa na charge 6 hours bei ni 1,200,000/= MPYA KWENYE BOX get me on 0713079282
 
ndo ivo jamaa angu hawa wanazingau ka wanaleta biashara za maneno tu mizigo hawana, ndo hawa unakutaga wezi.... asa kama vp nisome tubonge kuhusu hiyo mini unayoitaka na unipe na offer yako kabisa. fanya kuniPM itakua mzuka jamaa angu.
Naunga mkono hoja,mm mwenyewe kuna mmoja alisema anarud kutoka marekan ana acer nootebook,nikampm akaniletea longolongo na sasa ameuchuna kabisa,mi natafuta mini laptop lakin cjapata bado wote wanaleta longolongo
 
Mods naomba mtusaidie kitu kimoja kabla hamajaruhusu uzi kama pls tunaomba mconfirm kwanza kama hawa jamaa hivi vitu wanavyo sio watu tuhangaika kuwapigia simu hawapokei,kuna mwingine alikuja anauza iphone baada ya ku pm sana tu akapotea,sio vizuri kuwa na watu wababishaji humu
true that mzazi wanazingua sana hawa jamaa
 
4Gb ram, 750Gb ,3.66ghz DvD rewriter, built in webcam, bluetooth, wi-fi, wlan and inakaa na charge 6 hours bei ni 1,200,000/= MPYA KWENYE BOX get me on 0713079282

Resipt na garantee vp?
 
Jamani changamkieni hiyo mashine, nende apple store ndio mtajua kuwa hiyo mashine jamaa anawapa bureEee.

Utasema ni sawa na bure uchukuwe ukute ni kimeo ujejutia bora ungeenda huko apple store
 
huyu jamaa hii mashine hana ndo mana analeta longolongo, me nimempigia simu asubuh eti analeta pozi za kupokea simu then baada ya kuongea nae na kumwambia nampa hiyo pesa nakuja mcheki tena hapokei simu wa kujibu msg.... watu wengine bana kama kitu huna kwann ujifanye unatangazatangaza.

Kakosa chakupost humu leo, akaona uongo na upupu ndo chakufanya au hajawahipigiwa sim tangia huu mwaka uanze akaona aweke mamba angalao apigiwe
 
Naunga mkono hoja,mm mwenyewe kuna mmoja alisema anarud kutoka marekan ana acer nootebook,nikampm akaniletea longolongo na sasa ameuchuna kabisa,mi natafuta mini laptop lakin cjapata bado wote wanaleta longolongo

Hata madukani umepita ukakosa?
 
Mods naomba mtusaidie kitu kimoja kabla hamajaruhusu uzi kama pls tunaomba mconfirm kwanza kama hawa jamaa hivi vitu wanavyo sio watu tuhangaika kuwapigia simu hawapokei,kuna mwingine alikuja anauza iphone baada ya ku pm sana tu akapotea,sio vizuri kuwa na watu wababishaji humu

Sidhani kama itakuwa rahisi kwa mods kufanya kazi hiyo, ni jukumu letu sisi kulitendea haki jukwaa kwa kulifanya lenye manufaa.
 
Back
Top Bottom