X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
Apple iPad Vs. Samsung Galaxy Tab Vs. ViewSonic G Tablet Vs. Dell Streak
Click Here
Kivipi mkuu!?
nimependa specifications za apple Ipad zaidi. 1024 x 768 px. lakini ata hiyo pc imetulia na nafkiri bei itakuwa reasonable.
Ila swali langu:
Binafsi nafikiri biashara sasa ivi inaangalia technologia ya Apple. Makampuni makubwa yote yanafanya kitu kimoja tu Copy au kuibadilisha kidoogo kutoa kwa Apple.
Apple wanakuja na wazo(idea) halafu unakuta baada ya mda machizi yanatoa vitu vinavyofanania na Apple. Tumeona Iphone miaka 2007, baadae tukaona vitu vilivyokuja kujitokeza vikifanania idea ya iphone. Iliyojitahidi sana kwa karibu na Iphone ilikuwa (kwa mawazo yangu) Samsung wakajikita-kita na wamekuja sasaivi na Galaxy S. katika kipindi cha mwaka mzima Apple walibaki na model moja tu iphone hawa wengine wanatoa model nyingi ndani ya mwaka mmoja ( yaani kuiga-iga tu hiyo Iphone)
Hivyo hivyo kwa Applestore wakaja wengine na idea hiyohiyo ila majina tofauti.
Mwaka huu imekuja IPad heheheee tumeshaona copy za hiyo idea tofauti-tofauti .. aPad, na kwa hawa jamaa wa RIM wametoa Playbook. Baadaetutasikia NEC na wengineo wakifuatia.
Hivi inamaa na haya makampuni makubwa kama Nokia, Samsung wana mission moja tu? Kuwafuata-fuata Apple??? Basi kwa ujumla Apple ndio kiongozi wao??? Itatokea nini kama Apple watasimama? Inamaana hawa Nokia Samsung, Dell Sonyerricson ( xperia10) wataacha kuja na vitu watakavyobuni wenyewe???
Nadhani si kweli kuwa apple ndio kampuni ya kwanza kutoa tablet. Unajua kuwa kampuni ya Microsoft mwaka 2001 wali-lauch tablet?Apple ndio wa kwanza kutoa tablet,hao wengine kazi yao ni kuiga tu and always vitu vya kuiga sio vizuri plus ipad ina better touch experience kuliko hizo zingine
Mkuu kampuni ya kwanza kutengeneza smartphone ni IBM mwaka 1992, toleo lao liljulikana kwa jina la Simon... Hii simu ilikuwa na calendar, address book, world clock, calculator, note pad, ilikuwa na uwezo wa kupokea na kutuma e-mail na fax, vile vile ilikuwa na game. Baada wakafuatia Nokia na simu yao ya Nokia 9000, ambayo ilitolewa mwaka 1996. Baada katika mwaka 2000 Ericsson walitoa touchscreen smartphone R380, ikafuatia na P800 mwaka 2002, hii ilikuwa ndio simu (smartphone) ya kwanza kama sikosei kuwa na camera... Apple wao kwa mara ya kwanza kabisa wali-introduced simu yao ( iPhone) mwaka 2007.nimependa specifications za apple Ipad zaidi. 1024 x 768 px. lakini ata hiyo pc imetulia na nafkiri bei itakuwa reasonable.
Ila swali langu:
Binafsi nafikiri biashara sasa ivi inaangalia technologia ya Apple. Makampuni makubwa yote yanafanya kitu kimoja tu Copy au kuibadilisha kidoogo kutoa kwa Apple.
Apple wanakuja na wazo(idea) halafu unakuta baada ya mda machizi yanatoa vitu vinavyofanania na Apple. Tumeona Iphone miaka 2007, baadae tukaona vitu vilivyokuja kujitokeza vikifanania idea ya iphone. Iliyojitahidi sana kwa karibu na Iphone ilikuwa (kwa mawazo yangu) Samsung…wakajikita-kita na wamekuja sasaivi na Galaxy S. katika kipindi cha mwaka mzima Apple walibaki na model moja tu "iphone" hawa wengine wanatoa model nyingi ndani ya mwaka mmoja ( yaani kuiga-iga tu hiyo Iphone)
Hivyo hivyo kwa Applestore wakaja wengine na idea hiyohiyo ila majina tofauti.
Mwaka huu imekuja IPad heheheee tumeshaona copy za hiyo idea tofauti-tofauti .. aPad, na kwa hawa jamaa wa RIM wametoa Playbook. Baadaetutasikia NEC na wengineo wakifuatia.
Hivi inamaa na haya makampuni makubwa kama Nokia, Samsung wana mission moja tu? Kuwafuata-fuata Apple??? Basi kwa ujumla Apple ndio kiongozi wao??? Itatokea nini kama Apple watasimama? Inamaana hawa Nokia Samsung, Dell Sonyerricson ( xperia10) wataacha kuja na vitu watakavyobuni wenyewe???
Nadhani si kweli kuwa apple ndio kampuni ya kwanza kutoa tablet. Unajua kuwa kampuni ya Microsoft mwaka 2001 wali-lauch tablet?
Hii idea ya tablet ilianza kwanza kama electronic handwriting tablet na ilijulikana kwa jina la Telautograph, mwanzilishi wake anaitwa Elisha Gray mwaka 1888. Baadae ikaja Stylator katika 1957. Na mwaka 1964 ikaja kitu kinacho julikana kama RAND Tablet au the Grafacon...Baadae miaka ya 80's kukaja kitu kinachoitwa ID (Intelligent Digitizer) na BitPad ambayo ilitengenezwa na kampuni inayojulikana kwa jina la Summagraphics Corp . Wale watumiaji wa AutoCAD, watakuwa wanaifahamu hii kitu.
Baada ndio Apple wakaja na KoalaPad. Elewa kwamba ni makampuni mengi yameweza kutengeneza tablet kabla ya Apple kuja na Ipad mwaka 2010. Mfano mmoja wapo ni kampuni ya Asus ambao walikuja na tablet netbook, ikijulikana kama EEE PC T91 na T91MT, ambayo ni multi-touch screen. Kabla ya Apple ku-launch Ipad, kuna kampuni moja inaitwa MobileDemand wao walikujana toleo lao la mwaka 2010, kwa jina la xTablet T7000, tablet ambayo ina run full Windows OS ikiwa na integrated numeric keypad, bar code scanner, credit card reader na mambo kadhaa wa kadhaa.
Wakuu sidahni kama apple kuna kitu wanakuwa wa kwanza kukianzisha sema wao marketting strategy yao ndio kali wamewazidi wengi
simu za touch screen zilikuwepo hata kabla apple hawajotoa iphone chekini simu kama za HP ipaq. Nimeziona bongo toka mwaka 2002
Najua kwamba apple iphone is not the first touch smartphone lakini touch phones were not that popular but tangu the release of the apple iphone ndo touch ikawa dili na makampuni mengine yakaanza kutoa more touch phone kwasababu watu wengi walikuwa wanaikimbilia iphone kwahio makampuni mengine wakawa na hofu ya kupoteza wateja pia sababu kuu ya iphone kupendwa ni ile touch yake inakubali finger print tu yani huwezi kutumia kijiti kama simu zingine na inavutia zaidi
Si kweli maneno yako. Mauzo ya bidhaa za Apple ukilinganisha na Microsoft, Apple wanaachwa mbali sana...!Possibly apple ndio wa kwanza kutoa the first great tablet computing device
Si kweli maneno yako. Mauzo ya bidhaa za Apple ukilinganisha na Microsoft, Apple wanaachwa mbali sana...!
Mimi binafsi nimetumia sana Computer za Apple, ni nzuri na hazipati Virus, na program zake ni nzuri haswa kwenye masuhala ya Media. i.e uhakiki wa filam (video editing), uhakiki wa sauti (audio editing) na vitu kama hivyo...! Tatizo linakuja kwenye bei na upatikanaji wa baadhi ya program. Microsoft wana program nyingi sana kulinganisha na Apple.
To be a little more specific, heres a graph that illustrates which operating system versions are most popular in the market share.
http://www.hongkiat.com/blog/mac-vs-pc-myth-busting-consumer-guide/#ixzz19R3JhDGz
Ungeweka basi hata chart ya mauzo yao agaist other tablets.Ni kweli kuwa microsoft wanauza zaidi kuliko apple upange wa operating system lakini kwenye upande wa tablets ipad is the number one selling tablet in the world na pia mimi sijaongelea operating system nimeongelea tablet