jeraNdugu wana jf natumaini u wazima wa afya njema
Mojakwamoja niingie kwenye maada
Je hii app ya kotambulisho cha taifa niyakweli Au miyeyusho?
Maanimeiona hiyo app inasambazwa sana kwenye mitandao ya kijamii
Nimejalibu kuifuatilia haieleweki imenipa wasiwasi kama kuna wanao ijua vizuri
naomba tufahamishane ukweli wa hii appView attachment 1200043View attachment 1200044View attachment 1200045View attachment 1200046View attachment 1200047View attachment 1200048View attachment 1200051View attachment 1200052View attachment 1200053
sawee225 unaisifia hiyo app yawezekana niyakwako mkuuapp mnayoitukana pia ndo iliyompa mdogo wangu iyo namba ya NIDA akasajili line....nachokiona apa ni watu kubisha tu bila ata kufatilia
Yawezekana wametumia taarifa mlizojaza jaza hapo kupata namba yenu ya kitambulisho nida kisha kuwapatia ninyiapp mnayoitukana pia ndo iliyompa mdogo wangu iyo namba ya NIDA akasajili line....nachokiona apa ni watu kubisha tu bila ata kufatilia