App mpya

App mpya

Nevergive up

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2024
Posts
349
Reaction score
503
SETNET

Sisi ni vijana wa Kitanzania tulioamua kuanzisha app ya kisasa kwa nia ya kuwa na jukwaa la kijamii, kibiashara, kielimu na kiburudani linalotoka Tanzania, kwa ajili ya Watanzania na dunia nzima.

SETNET ni app ya kizalendo inayochanganya huduma nyingi maarufu kwenye app moja ili kurahisisha matumizi na kukuza uchumi wa kidigitali wa ndani.

Sifa Kuu za SetNet:

1. Mawasiliano kamili: Kutuma ujumbe wa maandishi, sauti, picha, video, nyaraka, mahali, zawadi n.k (individually & kwenye magroup).

2 .SetBot AI: Kujibu maswali papo kwa papo kwa kutumia akili bandia.

3 .Status & Story: Kushirikiana maisha na marafiki – kwa uma au kwa faragha.

4 .Shorts & Picha (TikTok/Instagram style): Kushiriki video fupi na picha, likes, comments, na followers.

5. S-Tube: Kupakia na kutazama video kama YouTube – kwa elimu, burudani au biashara.

6. Movie & Music Zone: Filamu, nyimbo, na chaneli binafsi za kisanaa.

7. Book & App Store: Vitabu vya kielimu na apps za ndani – kusoma, kupakua, kuchangia.

8. SetNet Market & Wallet: Soko la bidhaa na malipo ya mtandaoni kwa kutumia dola, kwa urahisi kutoka sehemu yoyote duniani.


Changamoto Yetu Kuu – Kibali cha TCRA

Pamoja na jitihada zetu kama vijana wa Kitanzania, changamoto kubwa tunayokumbana nayo ni ukosefu wa kibali rasmi kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ili kuruhusiwa kusambaza app hii kisheria na kwa usalama.

Tunaiomba TCRA au wadau wengine:

Kutupatia kibali halali cha kuendesha huduma hii.

Kutusaidia kwa ushauri wa kisheria na kiufundi ili kuhakikisha app hii inakidhi viwango vya sheria, ulinzi wa data, na matumizi salama ya kidigitali.


Lengo letu ni kuonyesha kuwa vijana wa Kitanzania tunaweza kuwa sehemu ya mapinduzi ya TEHAMA duniani, tukitumia suluhisho lililoanzia nyumbani.napokea ushauri
 

Attachments

  • IMG-20250731-WA0026.jpg
    IMG-20250731-WA0026.jpg
    25.2 KB · Views: 17
  • IMG-20250731-WA0024.jpg
    IMG-20250731-WA0024.jpg
    34.8 KB · Views: 18
  • IMG-20250731-WA0015.jpg
    IMG-20250731-WA0015.jpg
    41.8 KB · Views: 12
  • IMG-20250731-WA0016.jpg
    IMG-20250731-WA0016.jpg
    32.8 KB · Views: 16
  • IMG-20250731-WA0012.jpg
    IMG-20250731-WA0012.jpg
    42.9 KB · Views: 14
  • IMG-20250731-WA0011.jpg
    IMG-20250731-WA0011.jpg
    56.6 KB · Views: 14
  • IMG-20250731-WA0008.jpg
    IMG-20250731-WA0008.jpg
    60 KB · Views: 19
  • IMG-20250731-WA0008.jpg
    IMG-20250731-WA0008.jpg
    60 KB · Views: 14
  • IMG-20250731-WA0010.jpg
    IMG-20250731-WA0010.jpg
    45.5 KB · Views: 17
  • IMG-20250731-WA0015.jpg
    IMG-20250731-WA0015.jpg
    41.8 KB · Views: 16
SETNET

Sisi ni vijana wa Kitanzania tulioamua kuanzisha app ya kisasa kwa nia ya kuwa na jukwaa la kijamii, kibiashara, kielimu na kiburudani linalotoka Tanzania, kwa ajili ya Watanzania na dunia nzima.

SETNET ni app ya kizalendo inayochanganya huduma nyingi maarufu kwenye app moja ili kurahisisha matumizi na kukuza uchumi wa kidigitali wa ndani.

Sifa Kuu za SetNet:

1. Mawasiliano kamili: Kutuma ujumbe wa maandishi, sauti, picha, video, nyaraka, mahali, zawadi n.k (individually & kwenye magroup).

2 .SetBot AI: Kujibu maswali papo kwa papo kwa kutumia akili bandia.

3 .Status & Story: Kushirikiana maisha na marafiki – kwa uma au kwa faragha.

4 .Shorts & Picha (TikTok/Instagram style): Kushiriki video fupi na picha, likes, comments, na followers.

5. S-Tube: Kupakia na kutazama video kama YouTube – kwa elimu, burudani au biashara.

6. Movie & Music Zone: Filamu, nyimbo, na chaneli binafsi za kisanaa.

7. Book & App Store: Vitabu vya kielimu na apps za ndani – kusoma, kupakua, kuchangia.

8. SetNet Market & Wallet: Soko la bidhaa na malipo ya mtandaoni kwa kutumia dola, kwa urahisi kutoka sehemu yoyote duniani.


Changamoto Yetu Kuu – Kibali cha TCRA

Pamoja na jitihada zetu kama vijana wa Kitanzania, changamoto kubwa tunayokumbana nayo ni ukosefu wa kibali rasmi kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ili kuruhusiwa kusambaza app hii kisheria na kwa usalama.

Tunaiomba TCRA au wadau wengine:

Kutupatia kibali halali cha kuendesha huduma hii.

Kutusaidia kwa ushauri wa kisheria na kiufundi ili kuhakikisha app hii inakidhi viwango vya sheria, ulinzi wa data, na matumizi salama ya kidigitali.


Lengo letu ni kuonyesha kuwa vijana wa Kitanzania tunaweza kuwa sehemu ya mapinduzi ya TEHAMA duniani, tukitumia suluhisho lililoanzia nyumbani.napokea ushauri
Wasikwamishe,wawape nafasi,mnahoja na msikilizwe!
 
Pia niseme tu ahsante sana ndgu yangu upande wa technology..

Naomba nikukumbushe pia kuwa kwa sasa tanzania vijana tunahitaji kufanya kazi za kuvuja jasho..

Tuvuje jasho hii ni siri ya mafanikio tufanye kazi za kuvuja jasho
 
SETNET

Sisi ni vijana wa Kitanzania tulioamua kuanzisha app ya kisasa kwa nia ya kuwa na jukwaa la kijamii, kibiashara, kielimu na kiburudani linalotoka Tanzania, kwa ajili ya Watanzania na dunia nzima.

SETNET ni app ya kizalendo inayochanganya huduma nyingi maarufu kwenye app moja ili kurahisisha matumizi na kukuza uchumi wa kidigitali wa ndani.

Sifa Kuu za SetNet:

1. Mawasiliano kamili: Kutuma ujumbe wa maandishi, sauti, picha, video, nyaraka, mahali, zawadi n.k (individually & kwenye magroup).

2 .SetBot AI: Kujibu maswali papo kwa papo kwa kutumia akili bandia.

3 .Status & Story: Kushirikiana maisha na marafiki – kwa uma au kwa faragha.

4 .Shorts & Picha (TikTok/Instagram style): Kushiriki video fupi na picha, likes, comments, na followers.

5. S-Tube: Kupakia na kutazama video kama YouTube – kwa elimu, burudani au biashara.

6. Movie & Music Zone: Filamu, nyimbo, na chaneli binafsi za kisanaa.

7. Book & App Store: Vitabu vya kielimu na apps za ndani – kusoma, kupakua, kuchangia.

8. SetNet Market & Wallet: Soko la bidhaa na malipo ya mtandaoni kwa kutumia dola, kwa urahisi kutoka sehemu yoyote duniani.


Changamoto Yetu Kuu – Kibali cha TCRA

Pamoja na jitihada zetu kama vijana wa Kitanzania, changamoto kubwa tunayokumbana nayo ni ukosefu wa kibali rasmi kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ili kuruhusiwa kusambaza app hii kisheria na kwa usalama.

Tunaiomba TCRA au wadau wengine:

Kutupatia kibali halali cha kuendesha huduma hii.

Kutusaidia kwa ushauri wa kisheria na kiufundi ili kuhakikisha app hii inakidhi viwango vya sheria, ulinzi wa data, na matumizi salama ya kidigitali.


Lengo letu ni kuonyesha kuwa vijana wa Kitanzania tunaweza kuwa sehemu ya mapinduzi ya TEHAMA duniani, tukitumia suluhisho lililoanzia nyumbani.napokea ushauri
Yuvi sisiemu mimi nafahamu janjajanja zenu,ebu acheni upuuzi wenu.
 
Write your reply...nenda tbc1 omba nafasi ya kua mgene kwenye kipindi chochote cha mahojiano ya moja kwa moja na iwe mda wa habari saa 2. Hapo unaweza zungumza magumu yote unayowekewa na tcra
 
Why unasema hivyo mkuu?
Kama kuna mjamzito ambaye ni mwana ccm huyo mtoto ataihujumu Tanganyika,vivyohivyo kama aliyeweka ujauzito huo pia ni mwana ccm matokeo ni hayohayo na yuvi sisiemu ninyi ndicho mnachokifanya na hata hapo hayo mliyoyaleta na kuyasema siyo malengo bali malengo yenu ni kukusanya mawasiliano ya watu.
 
Tunaipaje kwa majaribio.
Ipo duka gani
 
Pongezi kwenu/kwako, hii ndio akili kubwa inayohitajika. kwa ushauri, isajilini Uganda, Burundi au Kenya; kufanikisha hilo, unaweza kutafuta mwanahisa mmoja kutoka kwenye hizo nchi.​
 
SETNET

Sisi ni vijana wa Kitanzania tulioamua kuanzisha app ya kisasa kwa nia ya kuwa na jukwaa la kijamii, kibiashara, kielimu na kiburudani linalotoka Tanzania, kwa ajili ya Watanzania na dunia nzima.

SETNET ni app ya kizalendo inayochanganya huduma nyingi maarufu kwenye app moja ili kurahisisha matumizi na kukuza uchumi wa kidigitali wa ndani.

Sifa Kuu za SetNet:

1. Mawasiliano kamili: Kutuma ujumbe wa maandishi, sauti, picha, video, nyaraka, mahali, zawadi n.k (individually & kwenye magroup).

2 .SetBot AI: Kujibu maswali papo kwa papo kwa kutumia akili bandia.

3 .Status & Story: Kushirikiana maisha na marafiki – kwa uma au kwa faragha.

4 .Shorts & Picha (TikTok/Instagram style): Kushiriki video fupi na picha, likes, comments, na followers.

5. S-Tube: Kupakia na kutazama video kama YouTube – kwa elimu, burudani au biashara.

6. Movie & Music Zone: Filamu, nyimbo, na chaneli binafsi za kisanaa.

7. Book & App Store: Vitabu vya kielimu na apps za ndani – kusoma, kupakua, kuchangia.

8. SetNet Market & Wallet: Soko la bidhaa na malipo ya mtandaoni kwa kutumia dola, kwa urahisi kutoka sehemu yoyote duniani.


Changamoto Yetu Kuu – Kibali cha TCRA

Pamoja na jitihada zetu kama vijana wa Kitanzania, changamoto kubwa tunayokumbana nayo ni ukosefu wa kibali rasmi kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ili kuruhusiwa kusambaza app hii kisheria na kwa usalama.

Tunaiomba TCRA au wadau wengine:

Kutupatia kibali halali cha kuendesha huduma hii.

Kutusaidia kwa ushauri wa kisheria na kiufundi ili kuhakikisha app hii inakidhi viwango vya sheria, ulinzi wa data, na matumizi salama ya kidigitali.


Lengo letu ni kuonyesha kuwa vijana wa Kitanzania tunaweza kuwa sehemu ya mapinduzi ya TEHAMA duniani, tukitumia suluhisho lililoanzia nyumbani.napokea ushauri
Kazi nzuri sana
 
Back
Top Bottom