blogspot
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,269
- 1,147
Habari wakuu poleni na majukumu ya kila leo.
App developers mimi sijui coding ila sio kwamba ni mweupe kabisaš. No kidogo some basics zipo.
Nipo hapa kutafuta developer tutakayeweza kupiga nae kazi pamoja.
Kivipi?
Developer utatengeneza App kwa niche ambayo nitakuwa nayo.
Then:
-Contents nitatengeneza
-Nita publish app kwenye console acc yangu.
-Promotion nitafanya(Makubaliano)
--Advertisements compaign kwenye platform tofautitofauti nitaendesha.
Note: Ads units Tutashare na hapa kila mtu atakua na zake kuepuka usumbufu.
Nawakaribisha wataalamu.
App developers mimi sijui coding ila sio kwamba ni mweupe kabisaš. No kidogo some basics zipo.
Nipo hapa kutafuta developer tutakayeweza kupiga nae kazi pamoja.
Kivipi?
Developer utatengeneza App kwa niche ambayo nitakuwa nayo.
Then:
-Contents nitatengeneza
-Nita publish app kwenye console acc yangu.
-Promotion nitafanya(Makubaliano)
--Advertisements compaign kwenye platform tofautitofauti nitaendesha.
Note: Ads units Tutashare na hapa kila mtu atakua na zake kuepuka usumbufu.
Nawakaribisha wataalamu.