Akizungumza katika kipindi cha radio Gospel Traxx Clouds FM Apostle Nick Shaboka ametaka Watanzania kwa pamoja kuilinda amani kwani Tanzania ni muhimu kuliko kupigania matakwa au ndoto za mtu mmoja hasa katika kipindi hiki ambapo kumekuwepo kwa taarifa nyingi, ushawishi mwingi na kampeni tofauti zingine hazina nia njema
"Kulinda amani ya Tanzania ni jambo la msingi sana ku;liko kupigania matakwa na ndoto binafsi ya mtu yeyeote yule"- amesema Apostle Nick Shaboka
"Kulinda amani ya Tanzania ni jambo la msingi sana ku;liko kupigania matakwa na ndoto binafsi ya mtu yeyeote yule"- amesema Apostle Nick Shaboka