Apitilizwa kituo cha basi akisubiri kunyonya

Apitilizwa kituo cha basi akisubiri kunyonya

mopaozi

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
3,300
Reaction score
523
Katika daladala mama mmoja alitaka kumnyonyesha mtoto wake.
Mtoto akakataa!
Mama akamwambia "nyonya
kama hutaki nampa Anko anyonye" (Anko ni kaka mmoja abiria aliyekaa na huyo mama pembeni).
Mtoto akanyonya kidogo akaacha!
Mama akamtishia tena kumpa Anko!
Ndipo yule kaka kwa hamaki akasema ''Mama uwe na msimamo.Unajua nimepitiliza vituo vinne kwa ajili yako, hebu kuwa mkweli! Utanipa ninyonye aau nishuke?"
 
Katika daladala mama mmoja alitaka kumnyonyesha mtoto wake.
Mtoto akakataa!
Mama akamwambia "nyonya
kama hutaki nampa Anko anyonye" (Anko ni kaka mmoja abiria aliyekaa na huyo mama pembeni).
Mtoto akanyonya kidogo akaacha!
Mama akamtishia tena kumpa Anko!
Ndipo yule kaka kwa hamaki akasema ''Mama uwe na msimamo.Unajua nimepitiliza vituo vinne kwa ajili yako, hebu kuwa mkweli! Utanipa ninyonye aau nishuke?"
u made my day jembe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom