jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 8,826
- 7,594
Nishawai kaa hapo, jamaa wana charge $50 a day, wazawa, wana gym, just a throw stone away from the beach. Fantastic, swala la usafiri ni makubaliano, wanaweza kukupa, msosi na nani nini eleweana nao amabo ni nje ya kukodisha ivyo vyumba, ni jamaa wa kinyamwezi aliekaa sana derby miaka kadhaa, najua kuhudumia wateja...lazima uweke deposit ya wiki au zaidi...
Sio siri napa recommend apa kwa watu wengine...
Sio siri napa recommend apa kwa watu wengine...