ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,555 Apr 2, 2013 #1 Tunzeni mazingira yenu wanajeiefu..
C COPPER JF-Expert Member Dec 28, 2012 2,176 1,229 Apr 2, 2013 #3 Nasikia Moshi ukitupa hata vocha ni balaa, sijui ukiangusha noti inakuaje.
grafani11 JF-Expert Member May 24, 2011 15,442 5,807 Apr 2, 2013 #5 Hii nimeipenda ngoja niipakue halafu nii-print kwa ajili ya ofisi hasa mapokezi wanapofikia watu wengi.
Hii nimeipenda ngoja niipakue halafu nii-print kwa ajili ya ofisi hasa mapokezi wanapofikia watu wengi.