Anza kufikiria Corona

Anza kufikiria Corona

mwengeso

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2014
Posts
9,286
Reaction score
6,727
Je, umeanza kufikiria jinsi ya kujikinga na virusi vya korona? Basi anza sasa:

- Kisha fikiria unavyopokea na kutunza fedha;
- Kisha fikiria daladala za Mbagala;
- Kisha fikiria mwendokasi;
- Kisha fikiria mabasi ya mikoani;
- Kisha fikiria msikitini siku za ijumaa
- Kisha fikiria kanisani siku za Jumamosi na Jumapili;
- Kisha fikiria kwenye masoko yetu;
- Kisha fikiria kwenye vibanda umiza
- Kisha fikiria kwenye mashule yetu ya serikali;
- Kisha fikiria tamaduni zetu watanzania
- Kisha fikiria umakini wa wasimamizi wetu;

Mdomo wangu unajizuia lakini nausikia moyo wangu ukiniambia R.I.P

- Fikiria umakini wa marekani lakini umeshindwa kuzuia korona;
- Fikiria teknolojia ya China lakin imeshindwa kuzuia Korona;
- Fikiria nguvu ya Italy lakin nao wameshindwa kuzuia Korona.

KILA MTU KWA IMANI YAKE AMUOMBE MUNGU KWA JINSI ANAVYOAMINI ILI NCHI YETU HII ISIGUSWE NA GONJWA HILI.

Amina.
 
Hata mimi nimefikiria ila moyo unapata kigugumiza ila nangojea nione nini kitatokea na hospitali zenu unazijua ila najua watatokea waganga feki, wahubirii feki, matapeli pia wataongezeka kila mtu atakuwa mtaalamu wa korona virus tujiandae swala la kutengana ni ngumu africa tukaze roho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fikiria wanywa mbege, dadii, mtukuru, na mataputapu mengine kwa kupokezana chombo kimoja
 
Je, umeanza kufikiria jinsi ya kujikinga na virusi vya korona? Basi anza sasa;
- kisha fikiria unavyopokea na kutunza fedha;
- kisha fikiria Daladala za mbagala;
- kisha fikiria mwendokasi;
- kisha fikiria mabasi ya mikoani;
- kisha fikiria msikitini siku za ijumaa
- kisha fikiria kanisani siku za jumamosi na jumapili;
- kisha fikiria kwenye masoko yetu;
- kisha fikiria kwenye vibanda umiza
- kisha fikiria kwenye mashule yetu ya serikali;
- kisha fikiria tamaduni zetu watanzania
- kisha fikiria umakini wa wasimamizi wetu;

Mdomo wangu unajizuia lakini Nausikia Moyo wangu ukiniambia R.I.P

- fikiria umakini wa marekani lakini umeshindwa kuzuia korona;
- fikiria teknolojia ya China lakin imeshindwa kuzuia Korona;
- Fikiria nguvu ya Italy lakin nao wameshindwa kuzuia Korona.

KILA MTU KWA IMANI YAKE AMUOMBE MUNGU KWA JINSI ANAVYOAMINI ILI NCHI YETU HII ISIGUSWE NA GONJWA HILI.

Amina.
Inawezekana tunaishi katika siku za mwisho kabisa za uhai wetu, ila masikini hatuna habari. Kama corona ikifumuka Africa kama ilivyofumuka China, Italy nk, kufikia tarehe kama ya leo mwakani unaweza kukuta hakuna mtu yuko hai bara zima hili.
 
Inawezekana tunaishi katika siku za mwisho kabisa za uhai wetu, ila masikini hatuna habari. Kama corona ikifumuka Africa kama ilivyofumuka China, Italy nk, kufikia tarehe kama ya leo mwakani unaweza kukuta hakuna mtu yuko hai bara zima hili.
Wacha tufe tu mkuu maisha yenyewe hayaeleweki... .
 
LOL hilo ni fumbo tumefumbiwa wanadamu...
I wish uwe ni usingizi mzito tu na kwenda kuoza moja kwa moja, isiwe kuna maisha mengine baada ya kifo.. Japo kuna wapendwa wangu waliotangulia huko, natamani niwaone tena maana nimewamisi sana.
 
Nilikuwa nahofu kipindi kile cha ebola, nipo zangu kigoma, naambiwa iko hapo upande wa pili kongo kwa ndugu zetu!
Ebwana mungu siyo mudi ebola ikatuliza mzuka nikiwa poa kabisa.
Leo hii korona inawapa watu joto la jiwe, nikijiangalia sehemu nilipo, kuipata ni shetani menyewe aamue. Niko mbuga ya Selous.
 
Nilikuwa nahofu kipindi kile cha ebola, nipo zangu kigoma, naambiwa iko hapo upande wa pili kongo kwa ndugu zetu!
Ebwana mungu siyo mudi ebola ikatuliza mzuka nikiwa poa kabisa.
Leo hii korona inawapa watu joto la jiwe, nikijiangalia sehemu nilipo, kuipata ni shetani menyewe aamue. Niko mbuga ya Selous.
Mloka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom