miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,966
me huwan nikisema nakupenda huwa namaanisha kwa maana hiyo nimeshapenda ila nikikuona ubebeki aisee kukuweka kapuni huku nikiumia moyo sioni tabu aisee ila kuna eneo nimekwama lakini siwezi dhuru uhai wangu...... akileta za kuleta taratibu naweka pembeni sitaki stress maisha matamu cha kujiua kisa kidudu ni nini ? vidudu venywewe majanga matupu aisee siwezi na Mungu anisaidie huwo upuuzi usijenikutamiss chaga uliwahai kupenda! acha hizi za kihuni ya true love yaani huoni wala husikii!
of course si-support kujidhuru lakini mtu yoyote kama hawi makini anaweza kufanya uamuzi wowote mbaya kwa muda wowote tu!