anywa sumu baada ya kufeli form four

anywa sumu baada ya kufeli form four

Poleni ndugu na jamaa,may be tuilaumu facebook au mfumo kristu unaokufelisheni ndugu zetu waislam.
 
Aiseee huyo ni mwanzo tu utaleta wanakuja wengi kweli na style ya kujiua
anyway polen familia iliopata msiba na zitakazopata msiba sababu ya matokeo
bado wale wa

iringa

mbeya

songea

nk
 
CCM wameua tena. Kama wangeboresha elimu binti angepata walau division four. Wanaua akina mama wakati wa kujifungua, wanaua watoto wadogo kwa kukosa tiba bora na sasa wanaua vijana kwa kuwasababisha wanywe sumu baada ya kupata elimu duni. Jamani CCM kati ya 240,000 ni wangapi watajizuia kunywa sumu???

Mtanzania wasaidie watoto wetu kwa kuikataa CCM 2015
 
R.I.P ASHURA,ingekuwa afadhali ningesikia waziri wa elimu na naibu wanywa sumu.
 
Rest In peace Tahira!

kufeli shule,siyo kufeli maisha!
 
Mungu aepushe kwa watoto wetu.. Hii inachangia na wazazi kuwa wakali sana wkt unakuta mtto akili yake ndipo iliposimama hata asome vipi! wazazi tubadilike sivyo tutamaliza watoto wetu. Na watoto someni kwa bidii kujiua sio suluhisho huko uendako unajua utakutana na yapi? RIP mwanafunzi.
 
Back
Top Bottom