Any information about jwtz or jkt on joining process this year

Any information about jwtz or jkt on joining process this year

mkwawa gabriel

Senior Member
Joined
Apr 7, 2012
Posts
100
Reaction score
23
Kwa yeyote mwenye taarifa jaribuni kutupia mtupe ideas na mtutoe polini mtupeleke barabarani
Thnx!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mkuu mimi kwa info nilizozipata wameshafanya kila kitu watu wanasepa mwezi wa tisa ila mimi nimesikia tu ni mambo ya kamlete system hayo
 
madogo waliomaliza six ths year waliosalia wanaenda mwezi9 ninavyo sikia ila cjajua kwa makundi mengine,wenye full info tujuzeni
 
madogo waliomaliza six ths year waliosalia wanaenda mwezi9 ninavyo sikia ila cjajua kwa makundi mengine,wenye full info tujuzeni

tetesi intake zngne ni mwezi wa tisa ikbuma hapo subir mwez wa 11 o 12jkt nafas ztatoka
 
Labda niulize wataka jiunga ukiwa na profession gani?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
we mwongo huna cfa hzo, and if for sure kuwa una masters ni-pm nikupe mwongozo.
 
Ivi hata ubank teller mmeukosa hadi mnataka kufanya kazi za kijinga kama hzi za majesh?
 
Jkt subiria tu wataita tena, ila JWTZ naskia wanaacha kuchukua watu mtaaani saizi watakuwa wanawatoa JKT
Ni tetesi lakini sina uhakika
 
Jkt subiria tu wataita tena, ila JWTZ naskia wanaacha kuchukua watu mtaaani saizi watakuwa wanawatoa JKT
Ni tetesi lakini sina uhakika

Upo sahihi mkuu,hata professional lazima upitie Jkt na ukimaliza mafunzo kuna usaili mwingine huwa unafanyika jkt kwa wale wanaoenda jw.
Na kuhusu officer cadets na Rts now days lazma utangulie Rts then ndio mnakatwa Bogi kwenda Monduli (TMA) nje ya hapo labda uwe baba kanituma.
#Kwa Rts Makutupora Introduction kikosini nafikiri wanaanza this week hivyo jipange kwa Jkt,wao mwezi wa tisa wanamaliza Course pamoja na Vijana mujibu wa sheria hivyo Mwezi wa kumi na moja au wa kwanza watatoa matangazo.
NB:
Kwa uhakika zaidi fuatilia mbao za matangazo ofisi za wilaya na mkuu wa mkoa.
 
...Yah ni kweli kabisa mkuu cku hzi hamna kuchukua watu mtaani, hili suala lishakuwa wimbo kila cku nawaeleza watu JF. Lakini kama unawish kuwa ofisa wa jeshi huna budi kuwa mvumilivu (tena sana) maana cku hzi degree mnazojivunia nazo vijana cyo hot cake kama zamani zile jeshini, suala la uvumilivu ni lazima maana una miezi 6 ya JKT + Miezi 4 ya RTS (ukimaliza unakuwa PRIVATE wa jeshi pamoja na hyo degree yako sawa na mtu wa darasa la 7 au form 4) baada ya muda ukibahatika utakuja usaili wa oficer cadet kwa wanajeshi wenye elimu ya form 6 na kuendelea, utaenda TMA miezi 9 kusotea nyota 1 au 2 au 3 kulingana na kiwango chako cha elimu....kwa kifupi ili kuwa officer wa JW ni suala la karibu miaka 2, lakini ukivumilia ukipata nyota zako maisha huku cyo mabaya, cha msingi acheni usharobaro halafu msipende shortcuts, "ujinga ni kukaa kusubiria nafasi za JWTZ professionals uraiani"
Upo sahihi mkuu,hata professional lazima upitie Jkt na ukimaliza mafunzo kuna usaili mwingine huwa unafanyika jkt kwa wale wanaoenda jw.
Na kuhusu officer cadets na Rts now days lazma utangulie Rts then ndio mnakatwa Bogi kwenda Monduli (TMA) nje ya hapo labda uwe baba kanituma.
#Kwa Rts Makutupora Introduction kikosini nafikiri wanaanza this week hivyo jipange kwa Jkt,wao mwezi wa tisa wanamaliza Course pamoja na Vijana mujibu wa sheria hivyo Mwezi wa kumi na moja au wa kwanza watatoa matangazo.
NB:
Kwa uhakika zaidi fuatilia mbao za matangazo ofisi za wilaya na mkuu wa mkoa.
 
...Yah ni kweli kabisa mkuu cku hzi hamna kuchukua watu mtaani, hili suala lishakuwa wimbo kila cku nawaeleza watu JF. Lakini kama unawish kuwa ofisa wa jeshi huna budi kuwa mvumilivu (tena sana) maana cku hzi degree mnazojivunia nazo vijana cyo hot cake kama zamani zile jeshini, suala la uvumilivu ni lazima maana una miezi 6 ya JKT + Miezi 4 ya RTS (ukimaliza unakuwa PRIVATE wa jeshi pamoja na hyo degree yako sawa na mtu wa darasa la 7 au form 4) baada ya muda ukibahatika utakuja usaili wa oficer cadet kwa wanajeshi wenye elimu ya form 6 na kuendelea, utaenda TMA miezi 9 kusotea nyota 1 au 2 au 3 kulingana na kiwango chako cha elimu....kwa kifupi ili kuwa officer wa JW ni suala la karibu miaka 2, lakini ukivumilia ukipata nyota zako maisha huku cyo mabaya, cha msingi acheni usharobaro halafu msipende shortcuts, "ujinga ni kukaa kusubiria nafasi za JWTZ professionals uraiani"

uongo mtupu huu na uzandiki mtupu
 
wewe acha ubishi askari wa miguu yuko sahihi,,hata mimi na jamaa yangu yupo saiv hiyo coz ya miezi 4 na ana degree kama wewe,,alianza kwanza na jkt miezi 6 badae wakapumzika mwezi mmoja ndipo walipopangiwa vituo vya hiyo cozi ya miezi 4
 
Back
Top Bottom