Jaby'z
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 4,296
- 7,603
odds ngapiNimeshaweka mkeka wangu wa maana hapa piga uwa ni lazima AJ ashinde, haiwezekani pesa yangu iliwe bure nimeitolea sana jasho.
odds ngapiNimeshaweka mkeka wangu wa maana hapa piga uwa ni lazima AJ ashinde, haiwezekani pesa yangu iliwe bure nimeitolea sana jasho.
Kafupi ketu kamepigwa Mungu mkubwa maana kangeshinda tungeambiwa ni juhudi za awamu ya tano
25/1 on special offer.odds ngapi
3/4kadundwa round ya ngapi mkuu?
Tunaonekana tuna vibamia wakati hapana pia tuna ngumi nzitoVibonge tunatamani Ruiz ashinde ili heshima ya mabonge mtaani iongezeke tumedharauliwa sana.
Black katutendea haki
Huu mchezo sio poa,kuna jamaa kala ngumi kali fasta fasta sijui round ya 2 tu kakubali yaishe.
Mbongo kapigwa KO
Sisi wengine tunayo mawazo tofauti na yako!Hahahaha nlidhani ni Mimi tu naliona hili
Kaingia kiterminatorKuna mwamba anaingia kwa mbwembwe saiz
Naomba niulize pambano saa ngap
Utakuwa unaongea kuhusu Hasim Rahman mwenye kovu la kudumu kwenye shavu.Hili pambano nafananisha na pambano ambalo lennox lewis alipigwa na underdog mmoja ivi tena round ya 3 na kipindi icho kumbuka lewis alikuwa kwny prime yake yani undisputed champion baada ya kuwa na mataji kadhaa....rematch hutskiwi ata kuuliza lennox alimfanya nini uyu jamaa....andy ruiz akitaka kushnda apigane for fun ie kwa kuenjoy amchukulie chukulie round adi 7 iv cz mda huo AJ atakuwa kachoka sana cz ataingia kwahasira na atataka amalze mapema....game naipa 50/50
Hahaah..mshukuruni walau kaitangaza nchi