Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,415
- 21,110
Saaaaana yani dahHuyu mbongo ametudhalilisha watanzania
Saaaaana yani dahHuyu mbongo ametudhalilisha watanzania
Inaonyesha vizuri sanavp azam kuna muonekano mzuri?
Ila refa kamuonea aisee,ile TKO sioMbongo kapigwa KO
Ila refa kamuonea aisee,ile TKO sio
Mechi ya Dillian Whyte sasa
Inategemea na upiganaji wake akataotumiaHuyu AJ mapema sana anakalishwa
Pambano saa Ngapi wakuu???Inategemea na upiganaji wake akataotumia
Ila kiukweli Joshua akiwa karibu n ruiz kumpiga itakuwa ngumu, ila kama Atakuwa naye mbali ataweza mpiga
Joshua Ana mikono mirefu wakiwa karibu kupiga ngumi kwake ni shida mikono haikunjuki
Ila pambano lazima litakuwa gumu kwa wote wawili
Ova
NdioHuyu alishapigwa na aj kama kumbukumbu zangu zipo sahihi
Sa 6Pambano saa Ngapi wakuu???
hahaaaMimi nataka apigwe ili sisi wenye vitambi tuendelee kuwa na heshima huku mtaani,maana tumedharaulika sana.....