screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,792
- 15,693
Yamebaki masaa machache tushuhudie lile pambano litakalosimamisha dunia kwa dakika kadhaa lililopewa jina CLASH ON THE DUNES ambapo litafanyika Saudi Arabia.
Pambano hili limekuwa likisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa ndondi duniani, hii ni baada ya AJ aliyekuwa bingwa na kipenzi cha watu kupigwa pambano la kwanza lililofanyika June 1 kitu ambacho wengi hawakuwaza, na pambano hilo kuwekwa katika kumbukumbu ya one of the biggest boxing upsets of all time. Je AJ ataweza kurejesha mikanda yake aliyopoteza? Tusubiri Jmosi.
Pambano hili limekuwa likisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa ndondi duniani, hii ni baada ya AJ aliyekuwa bingwa na kipenzi cha watu kupigwa pambano la kwanza lililofanyika June 1 kitu ambacho wengi hawakuwaza, na pambano hilo kuwekwa katika kumbukumbu ya one of the biggest boxing upsets of all time. Je AJ ataweza kurejesha mikanda yake aliyopoteza? Tusubiri Jmosi.