Antivirus MixTape: Sugu awachana Clouds FM

mimi hata link siioni......naomba ajue jina la wimbo tu anisaidie....
 
This is so sad, Mr two amesema maneno mazito bahati mbaya Tanzania hakuna a credible institution ama watu wanaoweza kuwasaidia hawa vijana, Mr II sio mtu wa kumchukulia juu juu. He is sending a very serious message na kama anavyosema yuko tayari kwa vita na hilo ndilo tatizo la uonevu. Yeye alilalamika juu ya hiyo contract yake na Malari No more, aliacha mambo yake mengi tu huku nje akafanya matayarisho pamoja na ya ki matarajio, ni kweli wote tunajua ilipofika ikulu kila Januari wamamkata kwa kuwa hana sophistication wanazoziona wao kwa kuwa wanamajina. Na hapo ndipo tulipoifikisha nchi kwa kupeana kazi kwa namna hiyo. Hawa vijana kwa kutumia ikulu wakajiona wako juu ya sheria ya mikataba yoyote. Hili swala Sugu akielekezwa likafanyiwa ufuatiliaji unaofaa kupitia ubalozi wa marekani huko sio swala dogo, watu wataharibu kazi jamani, tusilete dharau zetu za rushwa na kujiamini. Sugu alivyojaribu kutoa sauti akashambuliwa lakini watu tusisahau pamoja na umaskini wa watanzania kuna watu kama kina mr sugu ni majasiri. He is taking this issue to hte next level na hahati nzuri wamarekani wanajua rushwa iliyoko ikulu kwa hiyo hawatadharau malalamiko kama yakifishwa officially. Haya hayo mambo ya Kibonde kutukana watu tena na heshima zao mashujaa wa nchi hii kama kina Mgaya wameshapigiwa kelele, cha kushangaza hata wakina nobody's kama Gardner Habash nao siku hzi wanakiburi cha kupandisha pua, hivi hawa vijana wanaweza kumfikia mgaya kwa lolote? elimu yao duni hawamuwezi, track record ya kazi hawamuwezi, baba wa watu anatetea maslahi wa watanzania wao wanamnanga kama mtoto mwenzao. Ni vizuri pia tukumbuke kwamba swala sheria ya UKIMWI inawalinda watu kutokana na irresponsibility on the part of the person anayelalamikiwa kufanya kosa hilo. Kama itajulikana mtu unatatizo ulilokua unalijua tayari na kukawa na ushahidi wa ngono zembe unaweza ukashitakiwa kwa kutumia sheria hiyo. Hili jambo limefika mbali jamani sijui ni nani anayeweza kuliingilia, tatizo nao Clouds watajifanya miamba kutaka kupambana badala ya kutafuta namna ya kulimaliza. Maskini Ruge wa watu kaingizwa tu kwa kuitiwa kazi, lakini nataka kumpa moyo Sugu kwamba hata huo uzinduzi wenyewe wa hicho kitu ulionyesha tu ni dili tupu , very substandard hakuna kitu kabisa kabisa, wasanii wachovu, hao ma MC wachovu shule ndogo data hawana sio kitu cha kujivunia hakuna wa kupinga kwamba kama Tanzania tunataka kujiuza kimataifa tuache kubebana, hakuna msanii aliyepanda pale mwenye kiwango cha sugu naamini sugu asingetapeliwa tungeona vitu vikubwa kabisa kwenye hii zinduka na intervention nzima ingekua na impact sio kama sasa, kwa kweli its a crap, eti wasanii gani wameshindwa hata kutunga wimbo maalum wa shughuli wenye ujumbe, wakina banana hata nyimbo zao wenyewe wameshindwa kuziimba
 
Imefika wakati pumba na mchele vitenganishwe, namuunga mkono Sugu japo watu wengi wapenda sifa na wanaotukuza wenye vijisenti watatuona vichaa lakini ukweli utabaki pale pale! Go Sugu Go Sugu, nipo pamoja nawe mpaka mwisho wa mapambano haya!
 
clouds wehu eti leo wameanzisha chuo kikuu cha clouds na kuanza kujiita profesa dina marios,mara prof. kibonde ovyo na certificate zao za dsj
 
Wow...what a track, apart from the fact that lyrics are "little bit" too "American" the message is clear.

SUGU is a Spokesman now...love or hate it...this is Hip Hop NOT Bongo Flava!!
 
Kitu ninachomkubali SUGU huwa anasema ukweli kilicho moyoni mwake bila woga,Wasanii kama TID,Kala Pina,Mr Nice,DUDUBAYA ,SUGU na wengine wengi walibaniwa nyimbo zao kupigwa redioni ,baadhi ya wasanii kama TID,Blue ilibidi waombe msamaha lakini SUGU,KALA PINA &DUDU BAYA walisimama kidete kutetea haki za wasanii
 
Sugu ni kichwa, ukichukua vichwa vyote vya Clouds FM havimfikii Sugu. Yeye anastahili u-profesa kwa kazi nzuri anayofanya. He is a tank thinker. ukifuatilia nyimbo zake alizoanza kuimba miaka mingi iliyopita utatambua kuwa kichwa yake inafanya kazi ile mbaya.

Sasa jamani kina kibonde, gadna mnaweza kweli simama mbele ya Sugu na kumponda. Au shauri ya kubana bana sauti studio ndo basi tena. You need to respect him
 
This is so sad, Mr two amesema maneno mazito bahati mbaya Tanzania hakuna a credible institution ama watu wanaoweza kuwasaidia hawa vijana, Mr II sio mtu wa kumchukulia juu juu. He is sending a very serious message na kama anavyosema yuko tayari kwa vita na hilo ndilo tatizo la uonevu. Yeye alilalamika juu ya hiyo contract yake na Malari No more, aliacha mambo yake mengi tu huku nje akafanya matayarisho pamoja na ya ki matarajio, ni kweli wote tunajua ilipofika ikulu kila Januari wamamkata kwa kuwa hana sophistication wanazoziona wao kwa kuwa wanamajina. Na hapo ndipo tulipoifikisha nchi kwa kupeana kazi kwa namna hiyo. Hawa vijana kwa kutumia ikulu wakajiona wako juu ya sheria ya mikataba yoyote. Hili swala Sugu akielekezwa likafanyiwa ufuatiliaji unaofaa kupitia ubalozi wa marekani huko sio swala dogo, watu wataharibu kazi jamani, tusilete dharau zetu za rushwa na kujiamini. Sugu alivyojaribu kutoa sauti akashambuliwa lakini watu tusisahau pamoja na umaskini wa watanzania kuna watu kama kina mr sugu ni majasiri. He is taking this issue to hte next level na hahati nzuri wamarekani wanajua rushwa iliyoko ikulu kwa hiyo hawatadharau malalamiko kama yakifishwa officially. Haya hayo mambo ya Kibonde kutukana watu tena na heshima zao mashujaa wa nchi hii kama kina Mgaya wameshapigiwa kelele, cha kushangaza hata wakina nobody's kama Gardner Habash nao siku hzi wanakiburi cha kupandisha pua, hivi hawa vijana wanaweza kumfikia mgaya kwa lolote? elimu yao duni hawamuwezi, track record ya kazi hawamuwezi, baba wa watu anatetea maslahi wa watanzania wao wanamnanga kama mtoto mwenzao. Ni vizuri pia tukumbuke kwamba swala sheria ya UKIMWI inawalinda watu kutokana na irresponsibility on the part of the person anayelalamikiwa kufanya kosa hilo. Kama itajulikana mtu unatatizo ulilokua unalijua tayari na kukawa na ushahidi wa ngono zembe unaweza ukashitakiwa kwa kutumia sheria hiyo. Hili jambo limefika mbali jamani sijui ni nani anayeweza kuliingilia, tatizo nao Clouds watajifanya miamba kutaka kupambana badala ya kutafuta namna ya kulimaliza. Maskini Ruge wa watu kaingizwa tu kwa kuitiwa kazi, lakini nataka kumpa moyo Sugu kwamba hata huo uzinduzi wenyewe wa hicho kitu ulionyesha tu ni dili tupu , very substandard hakuna kitu kabisa kabisa, wasanii wachovu, hao ma MC wachovu shule ndogo data hawana sio kitu cha kujivunia hakuna wa kupinga kwamba kama Tanzania tunataka kujiuza kimataifa tuache kubebana, hakuna msanii aliyepanda pale mwenye kiwango cha sugu naamini sugu asingetapeliwa tungeona vitu vikubwa kabisa kwenye hii zinduka na intervention nzima ingekua na impact sio kama sasa, kwa kweli its a crap, eti wasanii gani wameshindwa hata kutunga wimbo maalum wa shughuli wenye ujumbe, wakina banana hata nyimbo zao wenyewe wameshindwa kuziimba

Nashikwa na hasira kwa uchungu wa mabo kama haya tena basi itokee ufanyiwe na watu amabo ndo ulitegemea wakutetee!

Yaliyompata Mr II yalinikuta mimi; Mimi na wenzangu tulikuja na idea amabyo ilikubalika na ikawekewa vigezo na mpaka tukakubaliana bei! Na huo ndio ukawa mwisho wetu! Idea ile ile inafanywa na watu wengine kwa wenye link ya kuwa na baba mwenye ujirani na ofisi kuu kuliko zote hapa nchini!

Mungu yupo alitupatia mimi na the likes of Mr. II mikono na akili na maarifa tele! We'll survive against all odds!

Sugu I feeel your pain! I've been there! MUNGU SI ABDALAH
 
<quote>The politically correct crowd could argue naming names of alleged HIV carriers was a below the belt hit, and I can understand why.But Sugu according to his allegation, did not simply go against somebody with HIV, but somebody who is knowingly spreading HIV and using his celebrity in the inhuman enterprise of infecting unsuspecting people. Provided the allegations are factual, Sugu emerges as a social commentator who is sailing the uncharted seas in Tanzania, I am trying to recall a more blunt attack of this nature 9deliberate spread of HIV) and I am drawing a blank.</quote> mkuu wewe ni wa ukweli kinoma, salute mwana....hapo kuna point sanaaa....
 
Very stupid move indeed.

Nadhani kulikuwa na njia nzuri zaidi ya kuelezea hoja ileile watu wakamsikiliza na kumuelewa badala ya kutumia lugha za matusi, vitisho na uhuni usio na kichwa wala miguu. Anaweza akawa amejichimbia kaburi yeye mwenyewe kwa law suits, ambazo mi nadhani ni valid at this point.
 
Nashikwa na hasira kwa uchungu wa mabo kama haya tena basi itokee ufanyiwe na watu amabo ndo ulitegemea wakutetee!

Yaliyompata Mr II yalinikuta mimi; Mimi na wenzangu tulikuja na idea amabyo ilikubalika na ikawekewa vigezo na mpaka tukakubaliana bei! Na huo ndio ukawa mwisho wetu! Idea ile ile inafanywa na watu wengine kwa wenye link ya kuwa na baba mwenye ujirani na ofisi kuu kuliko zote hapa nchini!

Mungu yupo alitupatia mimi na the likes of Mr. II mikono na akili na maarifa tele! We'll survive against all odds!

Sugu I feeel your pain! I've been there! MUNGU SI ABDALAH

pole sana mwana!!!

Hauko peke yako na lazima tumpongeze sugu kwa kuamua kuvunja ukimya... cha kumsaidia zaidi ni kumuandaa ili lyrics zake zikae kiujumbe zaidi na aweze kupiga nyoka kichwani

USHAURI: MJ UNAWEZA KUMCHEKI KUANZISHA THREAD YA MASHAIRI YA KIPIGANAJI NA KUMPA HUYU JAMAA AYARUSHE BILA STRINGSA ATTACHED, NAJUA UNAWEZA
 
DUH hili ni bonge la bifu yaani huyo mtangazaji ndo ana ngoma na anasambaza? Lakini wana haki ya kumshitakai kama anapaka watu hovyo namna hii je aliona majibu ya hosp? Halafu nasikia wamejiunga Chadema mh mbombo ngafu!!
 
I wanna kill right now, wanna right now.........mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
 
Hili pini ni soo.....Mi nimelisikia....Chorus ni " I WANA KILL RYT NOW" so atamkili nani tena SUGU?? Mi naomba tusifike huko....Koz kuuana siyo....Am sure watakua hawajawitness mtu anavyouawa.....YATAKA MOYO KUUA.....Ila haki inapokua haipatikani kwa njia za kawaida ndo huko kuuana kunapofikia..... "whenever diplomatic ways of solving a problem fails then force is always Applied" but aint sure tht this force is Killing....I wont prefer tht....Its a nice move kuwa kajiunga na CHADEMA so I think he can fight against Politically...akishindwa then.......chorus yake ichukue mkondo...Am sure vijana wengi tutampa back up.......
 
Hili pini ni soo.....Mi nimelisikia....Chorus ni " I WANA KILL RYT NOW" so atamkili nani tena SUGU?? Mi naomba tusifike huko....Koz kuuana siyo....Am sure watakua hawajawitness mtu anavyouawa.....YATAKA MOYO KUUA.....Ila haki inapokua haipatikani kwa njia za kawaida ndo huko kuuana kunapofikia..... "whenever diplomatic ways of solving a problem fails then force is always Applied" but aint sure tht this force is Killing....I wont prefer tht....Its a nice move kuwa kajiunga na CHADEMA so I think he can fight against Politically...akishindwa then.......chorus yake ichukue mkondo...Am sure vijana wengi tutampa back up.......

Murdering someone on wax is not the same as actually killing someone.
 
Back
Top Bottom