ZionTZ
JF-Expert Member
- Oct 6, 2009
- 1,283
- 538
Naamini hapa ni nyumbani kwa watu wanaoaminika kwa kuchambua na kudadafua isues mbalimbali, em tuusikilize huu wimbo kama ulivyo then tuuchambue, je ni kitu gani kimetokea mpaka king wa hii fani ya rap akaamua kuwatungia wimbo?
Je yaliyomo huko ni kweli? Najua watu kama kina nguli wakali wa mistari watachangia ipasavyo...
halllah...
Je yaliyomo huko ni kweli? Najua watu kama kina nguli wakali wa mistari watachangia ipasavyo...
halllah...
Last edited by a moderator: