Haya sasa muda wa kumkomboa msanii ni pale ustawi jukwaa limeanza kufungwa big sound big stage for local artist sio hadi aje fatjoe huu mziki hakuna anayeumiliki tunataka msanii alipwe vizuri, makampuni ya simu yalipie miziki ya wasanii, mil 200 zinazotolewa na wizara kwa chama cha wasanii zionekane nyumba na studio aliyotoa rais zirudi kwa wasanii,katika dunia ya sasa wasanii ndo wanatakiwa waisaidie jamii bt wasanii wa bongo njaa anasubiri shoo ya fiesta apewe elfu 50 akanunue jeans na supra. Wasanii huko mbele hakuna nssf na wala ruge hawezi kukusaidia. Tukutane bamaga ANTIVIRUS WITH NO APOLOGY