Antivirus 26/11/11

Kalila

JF-Expert Member
Sep 10, 2010
245
58
Haya sasa muda wa kumkomboa msanii ni pale ustawi jukwaa limeanza kufungwa big sound big stage for local artist sio hadi aje fatjoe huu mziki hakuna anayeumiliki tunataka msanii alipwe vizuri, makampuni ya simu yalipie miziki ya wasanii, mil 200 zinazotolewa na wizara kwa chama cha wasanii zionekane nyumba na studio aliyotoa rais zirudi kwa wasanii,katika dunia ya sasa wasanii ndo wanatakiwa waisaidie jamii bt wasanii wa bongo njaa anasubiri shoo ya fiesta apewe elfu 50 akanunue jeans na supra. Wasanii huko mbele hakuna nssf na wala ruge hawezi kukusaidia. Tukutane bamaga ANTIVIRUS WITH NO APOLOGY
 
Tatizo sio Ruge, tatizo ni umbumbu wa wasanii wa kibongo.
 
Tatizo sio Ruge, tatizo ni umbumbu wa wasanii wa kibongo.

Uko sahihi mzee ruge yupo kati anawagawa na kuwapa vitisho wasanii i mean anataka awamiliki na wasanii wanapenda movement ila wanamuogopa coz yeye ana watu ikulu so wasanii wanahofia atawanyima promo
 
Uko sahihi mzee ruge yupo kati anawagawa na kuwapa vitisho wasanii i mean anataka awamiliki na wasanii wanapenda movement ila wanamuogopa coz yeye ana watu ikulu so wasanii wanahofia atawanyima promo

hebu nieleze ikulu inahusika vipi kuwatisha wasanii wa kibongo.

Hivi kweli ikulu wanamuda na mtu kma Diamond, Mapacha, BDP n.k?
 
Clouds coverage yake ni kubwa, pia ni watu walioamua kujikita kwenye biashara ya music.

Mfanyabiashara yeyote lengo lake ni kupata faida kwa njia yoyote ile.

Anyway,
Tanzania, media zipo nyingi. Msanii sio lazma apate airtime ndani ya clous. Kwanini hao vinega hawapati airtime hata kwenye hizi media nyingine?. Hapa kuna swali? Je ruge anamiliki media zote Tanzania?.

Swala linalowapoteza wasanii wa zamani ni ubunifu zero. Wanashindwa kuwasoma customer wao wanataka nini?.


Kama wameshajua kuwa Ruge anawanyonyo hakuna haja ya kumtungia nyimbo za matusi. Matusi hayatasaidia kutatua tatizo.

Ushauri.
Wanapaswa kuandaa kampuni mf. Deiwaka ambayo itakuwa ina ratibu show za wasanii. Pia swala la kuelimishana ni la msingi zaidi.

Hitimisho.
Mapinduzi hayaji kwa matusi.
 
Clouds coverage yake ni kubwa, pia ni watu walioamua kujikita kwenye biashara ya music.

Mfanyabiashara yeyote lengo lake ni kupata faida kwa njia yoyote ile.

Anyway,
Tanzania, media zipo nyingi. Msanii sio lazma apate airtime ndani ya clous. Kwanini hao vinega hawapati airtime hata kwenye hizi media nyingine?. Hapa kuna swali? Je ruge anamiliki media zote Tanzania?.

Swala linalowapoteza wasanii wa zamani ni ubunifu zero. Wanashindwa kuwasoma customer wao wanataka nini?.


Kama wameshajua kuwa Ruge anawanyonyo hakuna haja ya kumtungia nyimbo za matusi. Matusi hayatasaidia kutatua tatizo.

Ushauri.
Wanapaswa kuandaa kampuni mf. Deiwaka ambayo itakuwa ina ratibu show za wasanii. Pia swala la kuelimishana ni la msingi zaidi.

Hitimisho.
Mapinduzi hayaji kwa matusi.

Mazee uwe mpole tu! Ndiko Mr. II anakoelekea, msitu unaingiwa moto zama za Wafu FM kunyanyasa wasanii zinapotea!

Sugu moto chini!
 
Clouds coverage yake ni kubwa, pia ni watu walioamua kujikita kwenye biashara ya music.

Mfanyabiashara yeyote lengo lake ni kupata faida kwa njia yoyote ile.

Anyway,
Tanzania, media zipo nyingi. Msanii sio lazma apate airtime ndani ya clous. Kwanini hao vinega hawapati airtime hata kwenye hizi media nyingine?. Hapa kuna swali? Je ruge anamiliki media zote Tanzania?.

Swala linalowapoteza wasanii wa zamani ni ubunifu zero. Wanashindwa kuwasoma customer wao wanataka nini?.


Kama wameshajua kuwa Ruge anawanyonyo hakuna haja ya kumtungia nyimbo za matusi. Matusi hayatasaidia kutatua tatizo.

Ushauri.
Wanapaswa kuandaa kampuni mf. Deiwaka ambayo itakuwa ina ratibu show za wasanii. Pia swala la kuelimishana ni la msingi zaidi.

Hitimisho.
Mapinduzi hayaji kwa matusi.[/QUOTE
]
Ama kweli umechelewa kutambua na kufunguka kifikra, kama wasanii wa zama,I wameishia hawana uwezo, iweje wasanii hao hao akina afande sele, manzese crew, lwp, solid ground family na gangwe mobb wamewaita dakika za lal salam kwenda kuperfom kwenye show zao..
Niambie kabla ya sugu kusema jamaa watakuwepo kwenye anti virus uliwahi kuwasiki wafu fm wakipiga nyimbo zao? Je km km hawana uwezo imekuaje wawaite wakafanye show kwa nyimbo za miaka ya nyuma? Si wawatumie wasanii wao wenye nyimbo mpya tuone km kweli wanawez.
Wafu fm wamedhihilisha kwmb hao wasanii waliowaita dakika za mwisho wana uwezo mkubwa kuliko wanaowabeba wajuzi juzi wenye track 1
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom