Anthony Mtaka, Mwanri wanafaa Dar

Anthony Mtaka, Mwanri wanafaa Dar

Hawa wakuu wa Mikoa wawili Mh. Anthony Mtaka na Aggrey Mwanri wanafaa kupewa mkoa wa Dar.

Mh Mtaka anafaa sana. Namwona kama kijana mbunifu sana na mwenye busara katika utendaji wake.

Kwa upande wa Mwanri ni mfuatiliaji mzuri sana wa kazi ni mwajibikaji sana ila kanda anayotoka itamnyima mambo mengi.
Magufuli hapangiwi.Kwani hakuwaona mwanzo?Tunamtaka huyo huyo Makonda
 
Mwanri anaongea sana bila vitendo
Jiji hili ni gumu aliliweza KEENJA NA MWAIBULA TU
 
Kwani jamaa tayari amefyatuliwa?Au Dar itakuwa na wakuu wawili..Mmoja we kuchapa kaaz he mwingine wa muvi za shilawadu?
 
Hawa wakuu wa Mikoa wawili Mh. Anthony Mtaka na Aggrey Mwanri wanafaa kupewa mkoa wa Dar.

Mh Mtaka anafaa sana. Namwona kama kijana mbunifu sana na mwenye busara katika utendaji wake.

Kwa upande wa Mwanri ni mfuatiliaji mzuri sana wa kazi ni mwajibikaji sana ila kanda anayotoka itamnyima mambo mengi.

Kwani Makonda unampeleka wapi?? Haondoki Dar mpaka Rais atakapoamua!
 
Hawa wakuu wa Mikoa wawili Mh. Anthony Mtaka na Aggrey Mwanri wanafaa kupewa mkoa wa Dar.

Mh Mtaka anafaa sana. Namwona kama kijana mbunifu sana na mwenye busara katika utendaji wake.

Kwa upande wa Mwanri ni mfuatiliaji mzuri sana wa kazi ni mwajibikaji sana ila kanda anayotoka itamnyima mambo mengi.
Acheni viherehere, rais hapangiwi na keshasema! Makonder ndo RC wa Dar, hutaki nenda kwa mwanri tabora.
 
Naletwa mimi niwakomeshe wadar es salaam. Mmezoea poo, nitawaua uwiiiiiii
 
Back
Top Bottom