kamanda mbigi
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 1,241
- 1,546
Mwanri anajua kupiga biti
Magufuli hapangiwi.Kwani hakuwaona mwanzo?Tunamtaka huyo huyo MakondaHawa wakuu wa Mikoa wawili Mh. Anthony Mtaka na Aggrey Mwanri wanafaa kupewa mkoa wa Dar.
Mh Mtaka anafaa sana. Namwona kama kijana mbunifu sana na mwenye busara katika utendaji wake.
Kwa upande wa Mwanri ni mfuatiliaji mzuri sana wa kazi ni mwajibikaji sana ila kanda anayotoka itamnyima mambo mengi.
Chukueni mzigo huu anawafaa wasukuma wenzake ukoHuku Mwanza tunamtaka Makonda tu huko Dar mtajuana wenyewe.
Huku Mwanza tunamtaka Makonda tu huko Dar mtajuana wenyewe.
Kama Arusha imemshinda ataweza jiji kubwa kama hili?Mrisho gambo ndo mahala pake dar
Hawa wakuu wa Mikoa wawili Mh. Anthony Mtaka na Aggrey Mwanri wanafaa kupewa mkoa wa Dar.
Mh Mtaka anafaa sana. Namwona kama kijana mbunifu sana na mwenye busara katika utendaji wake.
Kwa upande wa Mwanri ni mfuatiliaji mzuri sana wa kazi ni mwajibikaji sana ila kanda anayotoka itamnyima mambo mengi.
Acheni viherehere, rais hapangiwi na keshasema! Makonder ndo RC wa Dar, hutaki nenda kwa mwanri tabora.Hawa wakuu wa Mikoa wawili Mh. Anthony Mtaka na Aggrey Mwanri wanafaa kupewa mkoa wa Dar.
Mh Mtaka anafaa sana. Namwona kama kijana mbunifu sana na mwenye busara katika utendaji wake.
Kwa upande wa Mwanri ni mfuatiliaji mzuri sana wa kazi ni mwajibikaji sana ila kanda anayotoka itamnyima mambo mengi.