Anthony Mtaka angefaa sana kuwa Waziri wa Elimu

CK Allan

JF-Expert Member
Aug 14, 2013
2,729
5,919
Huyu mkuu wa mkoa wa Simiyu angefaa sana katika hii wizara.

Kwanza sio mpenda kiki za kijinga.

Hapendi kabisa walimu waonewe au wadhalilishwe. Ana maono na anajua namna ya kutreat wafanyakazi ili kuboresha Elimu.
Mtaka haamini katika Majengo na vifaa pekee.

Mtaka Ana amini katika walimu, wanafunzi, wazazi na miundombinu.

Tofauti na itikadi za viongozi wengi ambao hujisifia Majengo na madawati na Kisha kudhani hao watoto watajifundisha wenyewe.

Mtaka ameweka motisha kwa walimu katika mkoa wake. Hii inachangia walimu kufanya kazi kwa kujituma.

Unaweza kuangalia alipoikuta simiyu na Sasa ikoje katika matokeo.

Ni wazi kuwa huyu mheshimiwa angesaidia sana Elimu Yetu.

Waziri aliyeko anafanya kazi ipasavyo lakini binafsi naona amefeli katika baadhi ya Mambo.

1. Kushindwa kushirikiana na waziri wa tamisemi na utumishi kuhakikisha walau walimu wanapanda madaraja kwa wakati.

2. Kufanya utafiti na kuboresha elimu ili angalau wanaomaliza vyuo waweze kujiajiri.

3. Kuwezesha masomo ya sayansi kwa vitendo na kufanya majaribio mbali mbali shule za sekondari badala ya kujibia mtihani pekee, hili kafeli
 
Naunga mkono hoja.

Antony Mtaka ni mtenda haki, Mkoa wa Dodoma, umebarikiwa sana, utatendewa haki. Na kwa vile Dodoma ndio makao makuu ya nchi, then, kuutendea haki mkoa wa Dodoma ni kuitendea haki nchi ya Tanzania na itabarikiwa, hongera sana Antony Mtaka kuwa RC wa Dodoma. Asante Rais Mama Samia, umeutendea haki uteuzi huu, umeutendea haki mkoa wa Dodoma, na umemtendea haki Antony Mtaka.


P
 
Naunga mkono hoja.

Antony Mtaka ni mtenda haki, Mkoa wa Dodoma, umebarikiwa sana, utatendewa haki. Na kwa vile Dodoma ndio makao makuu ya nchi, then, kuutendea haki mkoa wa Dodoma ni kuitendea haki nchi ya Tanzania na itabarikiwa, hongera sana Antony Mtaka kuwa RC wa Dodoma. Asante Rais Mama Samia, umeutendea haki uteuzi huu, umeutendea haki mkoa wa Dodoma, na umemtendea haki Antony Mtaka.


P

Mkuu hata makala yupo poa sana.Si mtu wa kiki, Dar imepata kiongozi.
Ila mwanza imekula kwao, poleni wasukuma.
 
Huyu mkuu wa mkoa wa Simiyu angefaa sana katika hii wizara.

Kwanza sio mpenda kiki za kijinga.

Hapendi kabisa walimu waonewe au wadhalilishwe. Ana maono na anajua namna ya kutreat wafanyakazi ili kuboresha Elimu.
Mtaka haamini katika Majengo na vifaa pekee.

Mtaka Ana amini katika walimu, wanafunzi, wazazi na miundombinu.

Tofauti na itikadi za viongozi wengi ambao hujisifia Majengo na madawati na Kisha kudhani hao watoto watajifundisha wenyewe.

Mtaka ameweka motisha kwa walimu katika mkoa wake. Hii inachangia walimu kufanya kazi kwa kujituma.

Unaweza kuangalia alipoikuta simiyu na Sasa ikoje katika matokeo.

Ni wazi kuwa huyu mheshimiwa angesaidia sana Elimu Yetu.

Waziri aliyeko anafanya kazi ipasavyo lakini binafsi naona amefeli katika baadhi ya Mambo.

1. Kushindwa kushirikiana na waziri wa tamisemi na utumishi kuhakikisha walau walimu wanapanda madaraja kwa wakati.

2. Kufanya utafiti na kuboresha elimu ili angalau wanaomaliza vyuo waweze kujiajiri.

3. Kuwezesha masomo ya sayansi kwa vitendo na kufanya majaribio mbali mbali shule za sekondari badala ya kujibia mtihani pekee, hili kafeli
Akipewa hiyo nafasi atakushangaza hawa watu uwa sijui nini kinawapata.
Ndalichako tulitegemea makubwa toka kwake lakn wapi...
 
Wizara ya Tamisemi unashida bado..kila wazir atashindwa kwa sabab Kuna watendaji hawakubali tunachokitaka sisi...ni wizara yenye kansa eneo fulani..lazima litafutwe kiondolewe kibanzi....

Hawapendi kufanya Tina wanapeana nafasi za kujuana Juana. Afya, Elimu wanawekana wekana tu..angalia waganga.. wakurugenzi, Maarifa NWA idara mbalimbali kuna shida Kubwa pale
 
Back
Top Bottom