Killmonger
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 2,027
- 2,250
Wakuu msaada tutani kwa sisi wapenda boxing na wanawazi wa mchezo huu. Hii game kuna channel inayopatikana hapa Tanzania ambayo itaonyesha pambano hili? Nimeangalia dstv naona kavu.
Hili pambano litakua tarehe ngapi plz share.... Dstv mbona litaonyeshwaWakuu msaada tutani kwa sisi wapenda boxing na wanawazi wa mchezo huu. Hii game kuna channel inayopatikana hapa Tanzania ambayo itaonyesha pambano hili? Nimeangalia dstv naona kavu.
lilisha pita mkuu.Hili pambano litakua tarehe ngapi plz share.... Dstv mbona litaonyeshwa
Sawa mkuu, ila Antonio Joshua ana pambano hivi Karibuni,lilisha pita mkuu.
Sawa mkuu, ila Antonio Joshua ana pambano hivi Karibuni,
22 september anapambana na povetkin wembleySawa mkuu, ila Antonio Joshua ana pambano hivi Karibuni,
22 september anapambana na povetkin wembley