Ansbert Ngurumo: Paul Makonda aongoza kikao cha maangamizi ya CHADEMA ambacho ni hatari kwa Taifa

Wewe tulia ukae kwa Amani kwani ukithubutu kugusa masilahi ya Maliyamungu Bashite ujue yatakukuta kama ya Lisu kule Dodoma alipogusa masilahi ya 10% ununuzi wa ndege na Siri za kuikomboa ndege kwa Siri kimya kimya apate kupiga cha kingine, tulia usiguse Dili za Naibu Rais Maliyamungu idd Amin Bashite utaishi kwa Amani na Heri Kisanduku makapero hatakaa apajue kwako.
 
Mwanahabari Huru naona sasa umebobea kuleta taarifa za uchochezi hapa JF na Moderator wamekuacha tu!! Sina uhakika kama unaweza kutudhibitishia taarifa hii kama ni ya kweli kwa kuwa wewe ndiyo unaisambaza!!
Mtakimbiana mwaka huu, mkuu kumbe Mtulia yuko hoi?? Ila dua aliyoomba Mwalimu Salum pale viwanja vya buibui mwananyamala kinondoni, aliapa na kujiapiza atakaeshiriki kwa namna yoyote kudhulm nafsi, uhai, damu na ushindi wa mtu atateketea yeye na ukoo wake. Mtulia tayari hatujui ukoo wake, vipi wsle polisi walioua Aquilina? Vipi Makonda na timu yake?
 
Kufuatana na sheria za kikimbizi mkimbizi haruhusiwi kutumia nchi alipo kimbilia kuanza kuichokoza nchi yake alipotokea. - Ansbert jiongeze -
 
Duh. Huu upotoshaji wa CHADEMA, wanaongea lolote ili kujihami na maovu yao wanayoyafanya kila siku.
Yaani wao ni kubashiri lolote jf ili kulinda maovu yao. Mmeongea utumbo mwingi wa vikao bila ushahidi wowote.
 
Doh, dadeki bora Magu alivyowalipa hao jamaa wa Stirling. Mnajua hawa Stirling kumbe walishafungua kesi ingine hapa marekani wakitaka kushikilia na Boeing inayotengenezwa hapa. Kesi ilifunguliwa mwaka Jana October, Washington DC, sababu kule ndio kuna ubalozi wa marekani . Oneni mlalamikaji kaifuta lini kesi ya hapa marekani. Kaifuta juzi tarehe 29 baada ya kulipwa na Magu. Na ukiangalia mlolongo wa kesi, Tanzania ilifika mahakamani January 2018 kujibu kesi. Baada ya kutokea mahakamani ndo wakamalizana na Stirling Engineering.
.
.
Ingieni google and search Stirling civil engineering vs United Republic of Tanzania
.
.
Mzee huyo ukurupukaji wafanyiege huko huko Tz, kuna wengine ni majiwe kweli kweli. Ona sasa ulichozea dola milioni 38 za walipa kodi for absolutely nothing.hii inatisha sana uruhusiwi kusema ukisema wewe ni mhaini vngoz wa chadema wanakosa gani? Kosa lao ni kusema?
 
Asylum ya kubumba inagharama za kuharibu credibility na ethnicity ya mtu. Kwani nilazima utengeneze justifications zisizo na mashiko. Ole wako wale unaowadanganya wakikushtukia....! Hii dunia ukubwa wake utauona kama sawa na ule wa yai la mjusi.
 
Mayala, hata swali ulilouliza rais kuhusu kuvunja katiba ulikuwa kazini? Hata kama raisni msukuma ndo mmeamua kutuuua? Kutuonea? Ni dhambi ipi kuwa upinzani? Halafu huu urais wa wasukuma hautaisha? Mmeamua kuvuruga nchi na kutesa watanzania? Haya ni wakati wenu.
 
Kufuatana na sheria za kikimbizi mkimbizi haruhusiwi kutumia nchi alipo kimbilia kuanza kuichokoza nchi yake alipotokea. - Ansbert jiongeze -
Umewafuatilia Edward Snowden na Julian Assange wanadili vipi na nchi zao wakiwa huko ukimbizini?
Fanya utafiti
 
ma
mange kimambi huwa anazipata vipi? kikubwa hapa kuna wau wengi tu walioko kwenye system hawapendi na hawafurahii yanayoendelea ila tu hawana pa kuongelea. So kweu sisi watu kama kimangi na hata hyu Ngurumo ni muhimu sana kwa jamii yetu kwa sasa.
 
Kama Marekani alidai uchaguzi wake umedukuliwa na Mrusi sembuse nchi masikini na hisiyo na teknolojia kama ya kwetu!!!?
 
Duh. Huu upotoshaji wa CHADEMA, wanaongea lolote ili kujihami na maovu yao wanayoyafanya kila siku.
Yaani wao ni kubashiri lolote jf ili kulinda maovu yao. Mmeongea utumbo mwingi wa vikao bila ushahidi wowote.
Wewe acha ufala utumbo mnaongea nyie vilaza wa Le mutuz na Boss wenu Maliyamungu Bashite, akiongea Msiba ujinga mnaomtuma mbona hamuombi ushahidi wowote? Ya msiba hatahitaji ushahidi lakini ya chadema kuwajibu CCM mnataka ushahidi? Tambua kuwa watanzania si wajinga kiasi mnachofikiria wanajua kutafakari ni yupi kati ya CCM na chadema anayewahadaa watanzania.
 
Naibu Rais ndugu Maliyamungu Bashite na kikundi chake saa 24 wanashinda na waganga wa kienyeji wanaishi kwa wasiwasi hawajiamini
 

Hivyo nyie k.m. mnataka nini hasa? Hamna kingine cha kuwaeleza watu zaidi ya Magufuli kafanya nini au Makonda kafanya nini? Hamwoni kama nyie ni wajinga wa akili? Mna amini vitu ambavyo havina maana yeyote kwa taifa letu na maendeleo ya binadam. Watu wazima mna behave kama watoto wa darasa la kwanza?

Rais hawezi kuondolewa kwa kuandika upuuzi. Kama hamumtaki kuna legal processes zimewekwa za kufuata. Subirini 2020 mumpigie kura mtakaye mwona anafaa kuwaongoza. Mwacheni Magufuli amalize kazi yake halafu ndiyo mje na matakwa yenu.

Rais yeyote duniani akiapishwa tu lazima atawaweka watu anao waamini kuongoza serikali yake. Kama nyie ma-journalist uchwara hamumtaki RC Makonda nendeni basi 2020 mkachukue forms za kugombea urais nyie wenyewe ili muwachague watu mnao wataka kutawala.
Rais Magufuli yeye wamemwona Paul Makonda anafaa kumsaidia kuongoza. Mbona anafanya kazi nzuri?

Niwaambie siri wajerumani, watu au taifa ambalo limeendelea sana ki-technic na ustaarabu duniani, waliwahi kuwa na waziri wa mambo ya nchi za nje kwa jina anaitwa Yoshka Fisher ambaye hata highschool hakumaliza, sembuse chuo kikuu? Ajabu ni kwamba mpaka leo, kama nitakuwa na takwimu za uhakika, hakuna kiongozi mwingine ambaye amewahi kupendwa kama yeye. Na alifanya kazi yake vizuri sana.

Résultats Google Recherche d'images correspondant à https://charlie-p-2ac84d7056ca7f9d.s3.amazonaws.com/clips/thumbnails/000/005/811/medium/1HY7885_005_lt.jpg?1481902914

Halafu nyie wenda wazimu na watu ambao hata kuta za chuo kikuu hamjaziona kwa ndani mnathubutu kutwa kucha kupiga soga la Mh. Makonda kana kwamba yeye naye ni mwuuza madawa ya kulevya kama nyie bila haibu na sentimental, Ai see, mnasikitisha Sana.

Yaani nyie mnajiona mna akili kuliko watanzania wote walio mpigia kura Magufuli na hapo hapo kutuzuga tena! Nyie washamba sana. Yaani kwa uongo wenu usio na kichwa wala miguu, mnaoneka kama vile mmetoka bush leo! Yaani ni wakamba kupindukia. Ni vikaragosi. U-journalism gani huo? Huo ni ukoma kwa taarifa zenu. Nendeni kwenu vijijini mkawadanganye mababu na mabibi zenu.

Ma-journalist wanuka jasho wala kuoga hamwogi mnathubutu leo kutufundisha sisi uongo na upuuzi wenu kuhusu Makonda, are you really serious?

Nasikitika Rais Magufuli ana huruma sana na nyie, haki ya Mungu! Ningetamani wote nyie awaweke jela na kuwafungia leseni zenu za u-journalist uchwara kama mnazo.

Nyie ni wababaishaji. Hiyo kazi hamwiiwezi. Wahuni tu nyie wa mitaani na sio jingine. Mmejazwa udaku tu ambao mnataka kututapikia sisi. Ningewashauri mwache ujinga wenu. Sisi sio watu wa level yenu wakutuletea ukoma wenu.

Kuandika uongo ni ofend pia, mkae mkijua! Mkishikwa na kutiwa romande mnaanza kulialia. Eti mnajiita ma-journalist, Ma-journalist gani nyie wakuandika mambo ya uchi uchi! Mmesomea wapi? Pangoni? Nendeni mkafie mbali wasaliti wa nchi yetu nyie.

Mnajua kuwa nyie ni wauaji wakubwa wa jamii yetu kwa uongo wenu? Mna uhakika RC Makonda anaweza akafanya kikao cha usalama kujadili uchawi kweli? Mnaamini hivyo kweli? Au mna lengo la kuwapumbaza watanzania kwa maovu yenu?

Kama mnataka vita si nendeni Syria mkapigane? Kwa nini mnatufuatafuata sisi na viongozi wetu? Hamwoni kuwa mna bor? No one on Earth can take you seriously!

Wenzetu wazungu wana waza jinsi gani ya kuokoa binadam kwa janga lijalo la environment, ili aende kwenye Safari nyingine, nyie ndiyo kwamza mna limbuka na viji-devices vya Samsung na Aple kuandika mambo ya **** ****.
Pelekeni ushoga wenu huko kwenu mnakotoka.

Nyie ni vichaa na manyang'au!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…