TUMBIRI
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 1,933
- 1,199
Ndugu wanajamvi,
Ansbert Ngurumo anasema kwamba katika baadhi ya maeneo nchini, CCM imegeuka tusi miongoni mwa vijana. Ukimuudhi mtu siku hizi, akakosa tusi la kistaarabu dhidi yako, atakwambia 'Muone, kichwa kama CCM'.
Source:
http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=36022
Ansbert Ngurumo anasema kwamba katika baadhi ya maeneo nchini, CCM imegeuka tusi miongoni mwa vijana. Ukimuudhi mtu siku hizi, akakosa tusi la kistaarabu dhidi yako, atakwambia 'Muone, kichwa kama CCM'.
Source:
http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=36022