Ansbert Ngurumo amchana Kikwete live...

Duh! Usipoelewa hutoelewa chochote duniani.
Tanzania nzima kuna waandishi wawili tu wasiomung'unya maneno,wenye msimamo unaoeleweka na kila raia na wasema ukweli bila woga,Ansbert Ngurumo na saed kubenea.hata kama hatutaki kuwatambua sasa vipo vizazi vitawaenzi.hii makala imenisisimua mno hasa transparent yake kutaja waziwazi mambo yanayowashinda wengi.kuandika hv si kazi nyepesi hasa unapomgusa direct Amri jeshi mkuu na hasa wa nchi zetu hizi za HIPC.(Heavy indebted poor countries)
 
jamani mimi hii kitu nai print kabis a nitairudia mara 10
hivi huyu Ansbert ngurumo ni nani?

Ansbert NGURUMO ni mwandishi makini. Ni miongoni mwa waandishi wa habari waliokataa posho kutoka kwa wapambe wa kikwete wakati wa mchakato wa kugombea nafasi ya urais ndani ya ccm. Waliopokea ndiyo waliokuwa mstari wa mbele kumpigia debe kikwete. Waandishi wa habari wengi walikula hela za mafisadi enzi hizo lakini yeye alikataa kwa sababu alijua angeuza uhuru wake wa kutoa maoni.
 
Ngurumo, Kaka una maono kuliko Kilaza Kikwete, anachoweza Kikwet ni Ufisadi wa kuliangamiza Taifa. Wale wote waliompa kura 2005 na 2010 mtajijitia na mmelaaniwa na Mungu, watoto wenu na wajukuu wenu watakulaanini mpaka mnakufa
 
huyu bwana amesoma hull university ya UK na kangao ka mafisadi ****in maadamdeodatus balile yule mtoto wa fisadi rostam azizi
 
...Nadhani Ansbert Ngurumo yupo sahihi asilimia 99.99 (%). Hapana shaka kabisa ANGUKA ya JK ni balaa. Kila sekta ya siasa, uchumi na jamii - ameanguka! Na kweli ameanguka...pwa! Angalia hali mbaya ya uchumi - nishati ya umeme; uzalishaji ndio balaa; ajira - zilikuwa 1,000,000....sasa ni za wazibua vizibo! Hii si balaa?!

Kama TISS (Usalama wa Taifa) wangekuwapo ndahani wangalimsaidia JK katika kudadavua matatizo yanayoikabili nchi na yanayoweza kuhatarisha amani na usalama wa Tanzania. Hakuna woga, Ngurumo acha aungurume kama "nyamaume"...hakuna kulala hadi kuieleweke. MUNGU IBARIKI TANZANIA...!
 
Nashukuru upele umempata mkunaji! Ngurumo baba mpe ukweli mkweree TISS wanamwogopa! Tupo nyuma yako katu mkweree akikuarest tunamtoa rasmi Magogoni!
 
Nashukuru upele umempata mkunaji! Ngurumo baba mpe ukweli mkweree TISS wanamwogopa! Tupo nyuma yako katu mkweree akikuarest tunamtoa rasmi Magogoni!

Mkweere am-arrest kwa kosa lipi? Siyo rahisi.
 

Nakuvulia kofia mkuu,yote uliyoeleza ni kweli,tena kweli tupu! mkulu ni mzito wa kujifunza,nina uhakika hata mawaziri na watendaji wengine walikuwa wanamcheka kimoyomoyo wakati anahutubia ddm
Miaka 10 ya uwaziri wa mambo ya nje na miaka 5 ya kwanza ilikuwa shule tosha kwake kama angekuwa mtu wa kujifunza!
 
Mods mkiitoa hii tutakula na nyinyi sahani moja !! hi kitu ni balaaa na ngurumo ni kamanda kuanzia leo

Nikweli wakithubutu kuitoa tu naingia mstuni kupambana na jf!! Nilishawahi kupost Ukweli juu ya kifo cha Dr salmin amor yule makamo wa rais! Mods waliing'oa fasta bila kunipa sababu za msingi!!
 
Nikweli wakithubutu kuitoa tu naingia mstuni kupambana na jf!! Nilishawahi kupost Ukweli juu ya kifo cha Dr salmin amor yule makamo wa rais! Mods waliing'oa fasta bila kunipa sababu za msingi!!
He..!
Uchuro huu!
Wewe sasa ndio unashinikiza hii thread ifungwe...ongea vitu vya ukweli bwana weeee!
 
Kila kinachoandikwa na Ansbert lazima nisome. Kalamu ya Ansbert ni kali sana. Inalenga palepale. Kikwete lazima atapata ujumbe huu na utam-shake.
 
watoe kwa sababu gani? hayo ni mawazo ya mtu mmoja anaetafuta aitwe kupewa posho. Wala haisumbui kichwa hiyo .
 
Huu alioandika Ngurumo ni ukweli kabisa!!
Ansbert Ngurumo ni moja wa vijana waliojitoa mhanga kwa manufaa ya taifa hili maana kama angetaka kula shushu kama watoto wa mjini wanavyosema zamaaaani angekuwa mbali.najua hata mawaziri wenye nidhamu ya uwoga wamefurahia sana hii makala hawawezi kusema tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…