bigboi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 1,524
- 4,760
Mkuu tuje kwenye huduma ya switch on labda sijajua kwako lakini watu wengi tunalalamika sio unlimited kwa sababu kila ikifika mda inakata ukiunga tena inakubali ndo maana watu wanasema sio full unlimited wengine wanasema ikifika 1gb inakata sijuhi hili unasemaje