Another crash...Kasindeeee and Kiki?!

Ameshanunua gari lingine? ni muda sasa sijamuona!!!!:tape:

Unaplay under cover eeehh!! Mnajuana nyie halafu na wewe ila basi ngoja pasaka ipite kwanza.
 
Nshawahi kumuona vichochoro flani huku masaki.

Basi ndo huyo ni mchokozi mnoo mi nshamshindwa kwa uchokozi wake nasubiria kumkata mtama tuu
 
ni kweli kuna jamaa ana gari la hivo anaishi tabata kimanga, anapaki hilo gali lake kwenye bar inaitwa abc. nitakusaidi kumfikishia ujumbe huu. nitachukua namba yake ya simu then nitakupm.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…