Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,000
- 828,766
Kuna kila dalili kama sio kesho basi Jumatatu Gwajima atakuwa hewani tena! Alishatoa onyo na ultimatum ya siku kumi kwamba makanisa yake yasipofunguliwa ataongea mambo ya "kushangaza sana"
Kimsingi makanisa yasingefunguliwa kwa mkwara kwakuwa tayari kesi iko mahakamani na kuna utaratibu wa kisheria wa kufuta ama kuondoa, na kwakuwa ni kesi yenye vinasaba vya kisiasa mchakato wake unaweza kujaa mizengwe
Kuna mambo yanaweza kufanyika kimyakimya nyuma ya pazia na hilo jambo likaisha juu kwa ju! Ama pastor akabaki na msimamo wake na kuwa janga lingine kwa ccm baada ya lile la polepole
Muda ndio utasema kama atafuata nyayo za Polepole ama atabadili gear angani
Kimsingi makanisa yasingefunguliwa kwa mkwara kwakuwa tayari kesi iko mahakamani na kuna utaratibu wa kisheria wa kufuta ama kuondoa, na kwakuwa ni kesi yenye vinasaba vya kisiasa mchakato wake unaweza kujaa mizengwe
Kuna mambo yanaweza kufanyika kimyakimya nyuma ya pazia na hilo jambo likaisha juu kwa ju! Ama pastor akabaki na msimamo wake na kuwa janga lingine kwa ccm baada ya lile la polepole
Muda ndio utasema kama atafuata nyayo za Polepole ama atabadili gear angani