Another bomb shell loading.... Gwajima is about to push the button!

Another bomb shell loading.... Gwajima is about to push the button!

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,000
Reaction score
828,766
Kuna kila dalili kama sio kesho basi Jumatatu Gwajima atakuwa hewani tena! Alishatoa onyo na ultimatum ya siku kumi kwamba makanisa yake yasipofunguliwa ataongea mambo ya "kushangaza sana"

Kimsingi makanisa yasingefunguliwa kwa mkwara kwakuwa tayari kesi iko mahakamani na kuna utaratibu wa kisheria wa kufuta ama kuondoa, na kwakuwa ni kesi yenye vinasaba vya kisiasa mchakato wake unaweza kujaa mizengwe

Kuna mambo yanaweza kufanyika kimyakimya nyuma ya pazia na hilo jambo likaisha juu kwa ju! Ama pastor akabaki na msimamo wake na kuwa janga lingine kwa ccm baada ya lile la polepole

Muda ndio utasema kama atafuata nyayo za Polepole ama atabadili gear angani
 
20250818_103042.jpg
Zimebaki siku2
 
Kuna kila dalili kama sio kesho basi Jumatatu Gwajima atakuwa hewani tena! Alishatoa onyo na ultimatum ya siku kumi kwamba makanisa yake yasipofunguliwa ataongea mambo ya "kushangaza sana"
Kimsingi makanisa yasingefunguliwa kwa mkwara kwakuwa tayari kesi iko mahakamani na kuna utaratibu wa kisheria wa kufuta ama kuondoa, na kwakuwa ni kesi yenye vinasaba vya kisiasa mchakato wake unaweza kujaa mizengwe
Kuna mambo yanaweza kufanyika kimyakimya nyuma ya pazia na hilo jambo likaisha juu kwa ju! Ama pastor akabaki na msimamo wake na kuwa janga lingine kwa ccm baada ya lile la polepole
Muda ndio utasema kama atafuata nyayo za Polepole ama atabadili gear angani
I trust you Gwaji drop the bomb
 
Una fikra finyu mno.

Gwajima anamtetea Lissu. Polepole anamtetea Lissu. Wote hao ni watetezi wa taifa.

Nakushauri sana uwe unafanya mazoezi ya viungo kila asubuhi & jioni ili kuimarisha afya yako kiakili.
Huyo kilaza sidhani kama hakuwa na utapiamlo utotoni, maana si kwa kukosa akili kiasi hicho.
 
Kuna kila dalili kama sio kesho basi Jumatatu Gwajima atakuwa hewani tena! Alishatoa onyo na ultimatum ya siku kumi kwamba makanisa yake yasipofunguliwa ataongea mambo ya "kushangaza sana"

Kimsingi makanisa yasingefunguliwa kwa mkwara kwakuwa tayari kesi iko mahakamani na kuna utaratibu wa kisheria wa kufuta ama kuondoa, na kwakuwa ni kesi yenye vinasaba vya kisiasa mchakato wake unaweza kujaa mizengwe

Kuna mambo yanaweza kufanyika kimyakimya nyuma ya pazia na hilo jambo likaisha juu kwa ju! Ama pastor akabaki na msimamo wake na kuwa janga lingine kwa ccm baada ya lile la polepole

Muda ndio utasema kama atafuata nyayo za Polepole ama atabadili gear angani
Yeye Gwajiboy atujulishe aliyehusika kumuua Mwendazake.
 
Kuna kila dalili kama sio kesho basi Jumatatu Gwajima atakuwa hewani tena! Alishatoa onyo na ultimatum ya siku kumi kwamba makanisa yake yasipofunguliwa ataongea mambo ya "kushangaza sana"

Kimsingi makanisa yasingefunguliwa kwa mkwara kwakuwa tayari kesi iko mahakamani na kuna utaratibu wa kisheria wa kufuta ama kuondoa, na kwakuwa ni kesi yenye vinasaba vya kisiasa mchakato wake unaweza kujaa mizengwe

Kuna mambo yanaweza kufanyika kimyakimya nyuma ya pazia na hilo jambo likaisha juu kwa ju! Ama pastor akabaki na msimamo wake na kuwa janga lingine kwa ccm baada ya lile la polepole

Muda ndio utasema kama atafuata nyayo za Polepole ama atabadili gear angani
Nchi haiwezi kutishwa na makataa ya mtu mmoja
 
Back
Top Bottom