The Dreamer
JF-Expert Member
- Feb 2, 2009
- 1,282
- 21
Masanilo hilo swali lako ni la kizushi ...for the record ndiyo ana mume na watoto!....she is a great mother just FYI....
Nitajibu maswali mawili hapa.
Nimefanya kazi na Anna Wilson Makinda miaka ya 1980s, namjua kidogo. Nimewahi kufika kwao wakati baba yake alikuwa hai, na pia mara moja baada ya baba yake kufariki miaka ya 1990s. Baba yake aliwahi kuwa mkuu wa mikoa kadhaa, nakumbuka Tabora, Ruvuma, Tanga, wakati wa Mwalimu JKN.
Anna hajawahi kuolewa, na wala hana mume sasa. Ana mtoto mmoja wa kike, alizaa na Bwana mmoja (nadhani jina ni Ndunguru) ambaye alikuja kuwa Prof pale SUA. Nadhani ni mtu wa Songea au Ruvuma.
Last time kuonana naye, aliniambia binti yake yuko Marekani na kaolewa na mtu wa huko (siyo m-Tanzania), ila hakusema kama ni mzungu au mweusi. Na mimi sikuuliza.
Anna hana CPA lakini ni trained Auditor na ni mzuri sana katika hiyo kazi.
Ni dada mmoja mwenye heshima sana, uelevu na si msahalifu, hiyo ni ki-binafsi.
Ki-siasa ana mtazamo na msimamo mwingine ambao wakati mwingine unaweza kukuacha unakuna kichwa.
Namtakia mafanikio mema, na nina imani hii kazi ataiweza vizuri tu.
what is wrong with you african men? why can't you think beyond your erections?
YouTube - This video will shock South African people....wmv
Nimefanya kazi na Anna Wilson Makinda miaka ya 1980s, namjua kidogo. Nimewahi kufika kwao wakati baba yake alikuwa hai, na pia mara moja baada ya baba yake kufariki miaka ya 1990s. Baba yake aliwahi kuwa mkuu wa mikoa kadhaa, nakumbuka Tabora, Ruvuma, Tanga, wakati wa Mwalimu JKN.
Anna hajawahi kuolewa, na wala hana mume sasa. Ana mtoto mmoja wa kike, alizaa na Bwana mmoja (nadhani jina ni Ndunguru) ambaye alikuja kuwa Prof pale SUA. Nadhani ni mtu wa Songea au Ruvuma.
Last time kuonana naye, aliniambia binti yake yuko Marekani na kaolewa na mtu wa huko (siyo m-Tanzania), ila hakusema kama ni mzungu au mweusi. Na mimi sikuuliza.
Anna hana CPA lakini ni trained Auditor na ni mzuri sana katika hiyo kazi.
Ni dada mmoja mwenye heshima sana, uelevu na si msahalifu, hiyo ni ki-binafsi.
Ki-siasa ana mtazamo na msimamo mwingine ambao wakati mwingine unaweza kukuacha unakuna kichwa.
Namtakia mafanikio mema, na nina imani hii kazi ataiweza vizuri tu.
Anna hajawahi kuolewa, na wala hana mume sasa. Ana mtoto mmoja wa kike, alizaa na Bwana mmoja (nadhani jina ni Ndunguru) ambaye alikuja kuwa Prof pale SUA. Nadhani ni mtu wa Songea au Ruvuma.
Hiyo maneno ina lolote la kujifunza kuhusiana na uadilifu?
Kapinga alikuwa na familia? Au alizaa naye tu?
Seems mtoto wake alisoma nje au kama si hivyo aliendaje huko miaka hiyo? Scholarship?
Hii ni kwa hisani ya rafiki yangu Kiungani
Sahihisho nadhani huyo Prof wa SUA ni Kapinga (RIP) na si Ndunguru.
Mama mchapa kazi, mwenye heshima kwa wote na mwenye utu.Background yake ( kifamilia) imemsaaidia kuweza kuchomoza vema kwenye career ya siasa.
Nafurahia hatua aliyoifikia maana anastahili.Hayo mengine yanayosemwa juu yake ndio kwanza nayasikia hapa JF.Ukali bungeni etc.Nadhani kila mtu ana style yake ya kufanya kazi. Nijuavyo - ni mtu yuko principled which can be interpreted as rigid.
Nitajibu maswali mawili hapa.
Nimefanya kazi na Anna Wilson Makinda miaka ya 1980s, namjua kidogo. Nimewahi kufika kwao wakati baba yake alikuwa hai, na pia mara moja baada ya baba yake kufariki miaka ya 1990s. Baba yake aliwahi kuwa mkuu wa mikoa kadhaa, nakumbuka Tabora, Ruvuma, Tanga, wakati wa Mwalimu JKN.
Anna hajawahi kuolewa, na wala hana mume sasa. Ana mtoto mmoja wa kike, alizaa na Bwana mmoja (nadhani jina ni Ndunguru) ambaye alikuja kuwa Prof pale SUA. Nadhani ni mtu wa Songea au Ruvuma.
Last time kuonana naye, aliniambia binti yake yuko Marekani na kaolewa na mtu wa huko (siyo m-Tanzania), ila hakusema kama ni mzungu au mweusi. Na mimi sikuuliza.
Anna hana CPA lakini ni trained Auditor na ni mzuri sana katika hiyo kazi.
Ni dada mmoja mwenye heshima sana, uelevu na si msahalifu, hiyo ni ki-binafsi.
Ki-siasa ana mtazamo na msimamo mwingine ambao wakati mwingine unaweza kukuacha unakuna kichwa.
Namtakia mafanikio mema, na nina imani hii kazi ataiweza vizuri tu.
Kama ni Prof Kapinga aalikuwa na mke wa ndoa na watoto wake! Aliishatangulia kwenye hukumu ya haki.