Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Mama Anne Kilango inasemekana amechukua fomu za kuwania uspika wa bunge,huyu mama alin'gaa sana kipindi kilichopita kwa ujasiri wake (sina uhakika) aliounyesha ,sasa huyu mama kaamua kuingia kwenye uspika , sijui kitu gani kimemshawishi kuingia huko
source:
Sitta, Anne, Anna... wachukua fomu kugombea Uspika -
source:
Sitta, Anne, Anna... wachukua fomu kugombea Uspika -